Szczepan Guevara Jr
Member
- May 28, 2013
- 91
- 17
KICHEKESHO CHA LEO HII.
==============================
Bili ilivyomchanganya Masawe; Masawe
alienda na rafiki zake Bar kunywa, baada ya
kumaliza kunywa bili ikaletwa kama
ifuatavyo;
1). Manka = sh.35,000.
2). Marieta = sh.20,000.
3). Kekuu = sh.30,000.
4). kitime = sh.15,000.
5). Kinabo = sh.10,000.
TOTAL = SH.110,000.
Masawe akaicheki bili akasema; wote
nitawalipia, lakini huyo TOTAL ''Yesuu'' simlipii
kabisa. Kwansa anamiliki sheli kibao sa
mafuta hapa Bongo....shensi taaip! na
amekunywa nyingi kuliko wote, alipe
mwenyewe.KICHEKESHO CHA LEO HII.
==============================
Bili ilivyomchanganya Masawe; Masawe
alienda na rafiki zake Bar kunywa, baada ya
kumaliza kunywa bili ikaletwa kama
ifuatavyo;
1). Manka = sh.35,000.
2). Marieta = sh.20,000.
3). Kekuu = sh.30,000.
4). kitime = sh.15,000.
5). Kinabo = sh.10,000.
TOTAL = SH.110,000.
Masawe akaicheki bili akasema; wote
nitawalipia, lakini huyo TOTAL ''Yesuu'' simlipii
kabisa. Kwansa anamiliki sheli kibao sa
mafuta hapa Bongo....shensi taaip! na
amekunywa nyingi kuliko wote, alipe
mwenyewe.
==============================
Bili ilivyomchanganya Masawe; Masawe
alienda na rafiki zake Bar kunywa, baada ya
kumaliza kunywa bili ikaletwa kama
ifuatavyo;
1). Manka = sh.35,000.
2). Marieta = sh.20,000.
3). Kekuu = sh.30,000.
4). kitime = sh.15,000.
5). Kinabo = sh.10,000.
TOTAL = SH.110,000.
Masawe akaicheki bili akasema; wote
nitawalipia, lakini huyo TOTAL ''Yesuu'' simlipii
kabisa. Kwansa anamiliki sheli kibao sa
mafuta hapa Bongo....shensi taaip! na
amekunywa nyingi kuliko wote, alipe
mwenyewe.KICHEKESHO CHA LEO HII.
==============================
Bili ilivyomchanganya Masawe; Masawe
alienda na rafiki zake Bar kunywa, baada ya
kumaliza kunywa bili ikaletwa kama
ifuatavyo;
1). Manka = sh.35,000.
2). Marieta = sh.20,000.
3). Kekuu = sh.30,000.
4). kitime = sh.15,000.
5). Kinabo = sh.10,000.
TOTAL = SH.110,000.
Masawe akaicheki bili akasema; wote
nitawalipia, lakini huyo TOTAL ''Yesuu'' simlipii
kabisa. Kwansa anamiliki sheli kibao sa
mafuta hapa Bongo....shensi taaip! na
amekunywa nyingi kuliko wote, alipe
mwenyewe.