Kibuti ambacho hutakaa ukisahau!

Yeah right ... not even a single wish.. He is the one now suffer and begging looh. Not for a second ..I'm totally not available. Thanks..

Welome.
Good to hear that, Keep on moving forward. The old relationship was a learning platform for you.
 
dah mm nlipgwa kbuti ksa nlimdanganya kuwa mm npo mwaka wa kwanza nachukua BAF mzumbe kumbe nlikuwa a level mzumbe sec mana alinikuta nimepanga mstari dining shulen kuchukua ngama a.k.a ugali akani2mia mesej et "ckutak kama unidanganya kwa mambo madogo itakuwaje kwa makubwa'' hata ckujali mana kpnd hcho shule imechanganya nkaona her to
 

Ha ha ha ha ha
Mkuu umenikumbusha ile hadithi ya sungura "sizitaki mbichi hizi"
 
Kuanza upya ni busara pia, so pale tulipotezana patajiweka sawa.

Niambie ambacho ungefanya......kama kizito sana, naiambie mimi tu.

Teh teh teh teh teh, ningeku......
 
* Ili kibuti kisiwe na madhara usimtongoze mwanamke wakati upo single, jaribu kuwa na dem ndio umtongoze mwingine...kuna invisible attraction force inafanya kazi

* Ukiwa na dem halafu ukatongoza mwingine ni rahisi kukubaliwa kuliko ukienda ukiwa hauna na kwamba huyo unaemtongoza ndio unamtegemea awe wako...hiyo ni 'nature'

* Wanawake hawajui kukataa in 'real sense'....ndio maana anakataa na kukubali mda wowote....wanawake wengi wanasema wangekuwa wameumbwa wanaume ,wangekuwa wanabadilisha sana totoz...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…