GE2025 Kibonde: Nikiapishwa Urais walimu watavaa suti pair 5 kutoka kwa Serikali na vijana watapewa ekari 5 bure

GE2025 Kibonde: Nikiapishwa Urais walimu watavaa suti pair 5 kutoka kwa Serikali na vijana watapewa ekari 5 bure

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,446
Reaction score
2,093
Mgombea Urais kupitia Chama cha MAKINI, Coster Jimmy Kibonde, ameahidi kutoa ekari tano kwa kila kijana wa Kitanzania endapo Watanzania watamchagua kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, pamoja na kuboresha maslahi ya wafanyakazi wa umma wakiwemo walimu

Soma pia
 
Au vijana wakizeeka watanyanganywa ili wapewe vijana wengine wanaozaliwa ?
 
Halafu wagombea wa aina hii eti wamepewa na magari mapya ya kifahari kwa ajili ya kufanyia kampeni!
Kwa hali hii na mimi 2030 nitagombea Urais. No way out.
 
Back
Top Bottom