Nimesikiliza kwenye kipindi chake cha jahazi anabisha kuwa hakuna miujiza ya uponyaji . Lakini kwa walio wa Kristu wanaamini kila jambo linawezekana endapo utaomba kwa imani . Au kibonde anaabudu kwa shehe yahaya ?
Hamna tofauti kati ya shehe Yahya na babu wa Loliondo wote wanatudanganya kwa kutumia nafsi zetu dhaifu kurubuniwa....na wote wanatumia miti shamba.