Kibomba cha maji kisikien tu

Yaani ulivyokitaja tu imenibidi niingie bafuni kabisa! Yaani nimekicheck hadi nimebaki natikisa kichwa tu na kuguna.

Acha kusumbuka huko ,hebu njoo nipo idle kwa ajili yako.
Yaani mpaka nashindwa kumalizia story maana watu mmeshaconclude
 
Kwa mara ya kwanza mmasai kuchambia na shataph ..
Vipi imekuambishia genye zako vile vimaji vinavyotoka
Hiki kitu ni hatariiii sana.
Yaani kisikie sehemu tu..usijaribu.
Daah
Ngoja nitaendelea kuandika
 
Nyuzi kama hizi mods ndio muwe mnaondoa, zinaharibu jamii. Nashangaa mnadeal na siasa tu uozo kama huu hadi saivi bado upo humu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…