Nashangaa sana kuona watu ghafla wamekuwa na mapenzi na Sumaye kisa amejiunga na UKAWA. Sumaye pamoja unaUwaziri Mkuu wake hakuwahi kuwa mwanasiasa mwenye mashiko au ufuasi au mvuto.
Sumaye huyo huyo alishindwa katika uchaguzi ndogo sana wa CCM na mwanafunzi na rafiki yake wa zamani mama Mary Nagu.
Sasa kwa mwanasiasa kushindwa vita hii ndogo ataweza kweli vita kubwa?
Sumaye huyo huyo alishindwa katika uchaguzi ndogo sana wa CCM na mwanafunzi na rafiki yake wa zamani mama Mary Nagu.
Sasa kwa mwanasiasa kushindwa vita hii ndogo ataweza kweli vita kubwa?