Kiboko ya Sumaye ni Mary Nagu

Kiboko ya Sumaye ni Mary Nagu

Mugisher

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
411
Reaction score
360
Nashangaa sana kuona watu ghafla wamekuwa na mapenzi na Sumaye kisa amejiunga na UKAWA. Sumaye pamoja unaUwaziri Mkuu wake hakuwahi kuwa mwanasiasa mwenye mashiko au ufuasi au mvuto.

Sumaye huyo huyo alishindwa katika uchaguzi ndogo sana wa CCM na mwanafunzi na rafiki yake wa zamani mama Mary Nagu.

Sasa kwa mwanasiasa kushindwa vita hii ndogo ataweza kweli vita kubwa?
 
Hivi ndani ya CCM kuna democrasia ya kweli au unajishaua?
 
Subir mary nagu avune vumbi hanang ndio utajua sumaye ni nani
 
Sumaye ni jiwe kuu la pembeni,ambalo mafundi wamelipuuza.Sumaye anaweza kuwa msaada mkubwa UKAWA
 
Kikwete katika sura ya Mary Nagu.... Hofu iko wapi Sumaye alichayasema, yeye ni wa kawaida sasa kwanini mna chugachuga kama kuku anae taka kutaga au mbwa mwenye joto?
 
ila utasikia wanampongeza mkapa kwa kuboresha uchumi wanasahau sumaye ndo msimamizi
 
Sumaye ni jiwe kuu la pembeni,ambalo mafundi wamelipuuza.Sumaye anaweza kuwa msaada mkubwa UKAWA

Yeremia 17: 5 Bwana asema hivi, Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu, Amfanyaye mwanadamu kuwa kinga yake
 
mtu uliyemzalisha mtoto na kumtelekeza anaweza kuwa kiboko yako.?? ww ni wa kupuuzwa kama ..........
 
Lakini Alikuwa Wazili Mkuu Miaka 10 Vipi Tukisema Ccm Ni Mbovu Kwa Kauli Yako? Je? Ni Wazili Mkuu Gani Unazani Aliongoza Vizuri Na Nani Aliongoza Vibaya? Maana Walioba Alipokuwa Kwenye Ubora Wake Kwenye Tume Ya Katiba Mlimsema Sana, Akaja Lowasa Mnamsema Sana, Sumaye Mnasema Sana, Je? Ccm Haijaoza?
 
Mary alisaidiwa na EL na Leo EL yuko na Frederick sasa hapo kiboko nano?
 
Nashangaa sana kuona watu ghafla wamekuwa na mapenzi na Sumaye kisa amejiunga na UKAWA. Sumaye pamoja unaUwaziri Mkuu wake hakuwahi kuwa mwanasiasa mwenye mashiko au ufuasi au mvuto.

Sumaye huyo huyo alishindwa katika uchaguzi ndogo sana wa CCM na mwanafunzi na rafiki yake wa zamani mama Mary Nagu.

Sasa kwa mwanasiasa kushindwa vita hii ndogo ataweza kweli vita kubwa?

nagu alupitishwa kwa rushwa
 
Demokrasia ipo chadema!? nambie wangap walichukua fom ya urais, uchaguz wa maon ulifanyikia wap na kat ya nan na nan? coz hayo yote tumeyaona ccm ambayo ndiyo indicator ya demakrasia ndan ya chama

hiv ww unaijua maana ya demokrasia??wing wa wagombea n democrasia??
kuna nn ccm zaid ya rushwa??
uchaguz wa kura za maoni unadhihirisha hayo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom