Gavana
JF-Expert Member
- Jul 19, 2008
- 33,232
- 8,781
Kwa hiyo uko Radhi polisi wauawe kwa dhana ulizokiwa nazo na hofu inayopandikizwa na wapinzani.
Polisi wanamadhambi yao lakini tusisherehekeye kuuawa kwa mwandamu hata kama humpendi.
Mimi sijasema nafurahia, nilichosema ni hiki nakwekea tena kwa wino mwekundu
Usisahau hao hao unaosema ni ndugu zetu wamewauwa na wanaendelea kuwauwa na kuwatesa ndugu zetu. Vyombo vya ulinzi vimekosa kabisa ushirikiano na raia kwa kulazimishwa kutumikia CCM.
Polisi na vyombo vyengine vya usalama vinahitaji kuundwa upya ili vifanye kazi kwa mujibu wa taaluma zao na sio kuwatumikia wana siasa wa CCM