Alshabab Kenya walianza hivi hivi,boko haram Kaskazini mwa Nigeria walianza hivi hivi.Unaweza kuchekelea hili suala la kuuwawa baadhi ya watu lakini mwisho wake kicheko kitageuka kuwa kilio.
Wanasiasa wameanza kulifanya ni suala la kisiasa lakini wenye uelewa mpana wanafahamu hili sio suala la kisiasa pekee.
This is low level terrorism.
Hao waliopo Pwani ni magaidi full na wadhibitiwe haraka kabla hawajaenea zaidi.
Naona wamelelewa sana
Nina wasiwasi hata hao panya road wanaweza kuingizwa kwenye ufadhili wa mikono ya magaidi.
Ninawaza tu.....