Kiberiti - Fid Q Ft Saida Karoli

Kiberiti - Fid Q Ft Saida Karoli

Huu kipindi kile mpenzi wa miziki ulikuwa inanipa motisha sana na ulikuwa haukauki kuusikikiza mpk watu wakawa wanasema "unaupendea nini ?" mimi nikawa najiuliza nyimbo kali kama hii watu wanakupuuza na mtu ananiuliza swali hilo wakati yeye anasikiliza 'nyegezi' ni masikitiko sana.

Ni bonge la ubunifu mtu kujichana , maneno ya mwisho yale kuna bonge moja la funzo ila cha ajabu huu wimbo haukuwa mkubwa .
 
Moja ya nyimbo kali sana alizowahi kutoa Fid Q.

Sema inaboa sana kule mwisho alikozungumza badala ya kuchana.
 
Huu kipindi kile mpenzi wa miziki ulikuwa inanipa motisha sana na ulikuwa haukauki kuusikikiza mpk watu wakawa wanasema "unaupendea nini ?" mimi nikawa najiuliza nyimbo kali kama hii watu wanakupuuza na mtu ananiuliza swali hilo wakati yeye anasikiliza 'nyegezi' ni masikitiko sana.

Ni bonge la ubunifu mtu kujichana , maneno ya mwisho yale kuna bonge moja la funzo ila cha ajabu huu wimbo haukuwa mkubwa .

Kwani umetoka lini huu wimbo...?
 
Back
Top Bottom