Natafuta mfanyakazi kwenye Kiwanda Kidogo awe binti aliyemaliza form four na anajua kujieleza vizuri kusoma na kuandika Kingereza, awe na uwezo wa kuelewa Kingereza pia akiongeleshwa.
Malipo ni 10000/- kwa siku na muda wa kazi ni saa mbili asb hadi sa 11 jioni masharti;
1. Awe anakaa moshi mjini hasa KCMC, Soweto, Longuo au Shanty.
2. Aichana mwenye kujitambua na awe na uwezo wa ku-mantain usafi wa kiwanda na operation za kiwanda.
Kama una ndugu yako basi ni-PM kabla ya kesho mchana
Malipo ni 10000/- kwa siku na muda wa kazi ni saa mbili asb hadi sa 11 jioni masharti;
1. Awe anakaa moshi mjini hasa KCMC, Soweto, Longuo au Shanty.
2. Aichana mwenye kujitambua na awe na uwezo wa ku-mantain usafi wa kiwanda na operation za kiwanda.
Kama una ndugu yako basi ni-PM kabla ya kesho mchana