Habari wana GF,
Kwa wale waliopo Arusha. Nina uza kibanda cha biashara kipo Arusha pia.
Specification
1. 2M x 2M x 2.5M, kwa maana ya upana, urefu, na kimo
2. Material: bati gumu gauge 18
3. Kina hamishika
4. Bei Tshs 550,000 hata maelewano yapo kwa anaye kihitaji
Anaye kihitaji anaweza kuni pm.