Mi naangalia kwa upana sana, yeye anajua ni nani kamfanyia hivyo na ni kama mazingira matatu, je ni katika uandishi wake(siasa in particular)? je kachukua mke wa mtu? au je kamdhulumu nani pesa/mali?
Yeye anajua wabaya wake na hata kama hawajui basi anawahisi, get well soon.