VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,140
- 18,004
wenye tabia hiyo ni ccmWamiliki wa gazeti la Tanzania Daima wachunguzwe.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Kwanini Mkuu?Wamiliki wa gazeti la Tanzania Daima wachunguzwe.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Umenena vyema mkuuSiungi mkono suala la kuumizwa kwake.......namtakia mema juu ya afya yake!!!
Ila na nyie waandishi mna maisha yenu nyuma ya pazia na haswa linapokuja suala la siasa na uchaguzi.....!!!!!!!
Mnafungamana na viongozi na wanasisa........mnasikia na kuona mengi saana.....mengine mnatujulisha na mengine mnamezea......kwa faida ya nani.....nyie mnajua zaidi yetu....!!!!!!
Maisha yenu mnatakiwa muyachunge sana na kwa tahadhari ya hali ya juu...............just out of curiosity hivi waandishi wa habari "mahiri" mnachukua tahadhari gani juu ya maisha yenu...........deterrent mechanism ipi mnatumia kuhakiki usalama wenu?????
It is high time muangalie upya suala zima la kuwa na uwezo wa kujihami na kushambulia kama ikibidi haswa nyie investigating journalists.......
Wish him a fast recovery.......
nenda kawachunguze!!wamiliki wa gazeti la tanzania daima wachunguzwe.
Sent from my blackberry 9300 using jamiiforums
Siungi mkono suala la kuumizwa kwake.......namtakia mema juu ya afya yake!!!
Ila na nyie waandishi mna maisha yenu nyuma ya pazia na haswa linapokuja suala la siasa na uchaguzi.....!!!!!!!
Mnafungamana na viongozi na wanasisa........mnasikia na kuona mengi saana.....mengine mnatujulisha na mengine mnamezea......kwa faida ya nani.....nyie mnajua zaidi yetu....!!!!!!
Maisha yenu mnatakiwa muyachunge sana na kwa tahadhari ya hali ya juu...............just out of curiosity hivi waandishi wa habari "mahiri" mnachukua tahadhari gani juu ya maisha yenu...........deterrent mechanism ipi mnatumia kuhakiki usalama wenu?????
It is high time muangalie upya suala zima la kuwa na uwezo wa kujihami na kushambulia kama ikibidi haswa nyie investigating journalists.......
Wish him a fast recovery.......
Wamiliki wa gazeti la Tanzania Daima wachunguzwe.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Ilisemekana kuwa Dr.Stephen Ulimboka aliudhi watawala wa juu.Akatekwa,akateswa,akatupwa na siku ya pili akaokotwa Msitu wa Mabwepande. Sinema yake bado haijaisha.
Leo,'ametekwa' na kuteswa Ndugu yangu kiuandishi Absalom Kibanda. Sasa ameshatua Afrika Kusini kwa matibabu zaidi baada ya kukosekana huduma stahiki Muhimbili na hospitali nyinginezo za Dar es Salaam.Naye ana majeraha kichwani na jichoni.Ameumizwa vibaya na yuko katika hali mbaya.
Absalom Kibanda alikuwa Mhariri Mtendaji wa Gazeti la Tanzania Daima linalosemekana kumilikiwa na CHADEMA(sina uhakika wa umiliki).Baadaye,akajiunga na New Habari Corporation kama Mhariri Mtendaji.New Habari Corporation inamilikiwa kwa kiasi kikubwa na Rostam Aziz.
Ni juzi tu,Kibanda aliandika makala ya kumsifu Abdurahman Kinana akichagiza kuteuliwa kwa Kinana kuwa Katibu Mkuu mpya wa chama cha Mapinduzi. Nimjuavyo Kibanda,ni mwandishi nguli na mahiri. Ni msema anachokiamini.
Kitendo cha kushambuliwa leo kinaacha maswali mengi. Kibanda amemuudhi nani tena? Kwanini sasa tabia ya kuteka na kutesa inaonekana kama ni dawa ya kuwakomesha wasemakweli?
Uchunguzi wa kina unahitajika hapa;tena haraka. Amasivyo,kila mtu atajilinda kwa namna anayoiona inafaa. Serikali ifanye kazi yake ya kuhakikisha ulinzi wa raia wake.
Amemuudhi yuleyule aliyeudhiwa na Ulimboka, Kubenea, Mwandosya, Mwakyembe, Jwani Mwaikusa, Mwangosi na wengineo wa namna yake.
Wamiliki wa gazeti la Tanzania Daima wachunguzwe.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums