Kibali kimekosewa.

Kibali kimekosewa.

The atlantic

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2023
Posts
458
Reaction score
783
Wanabodi wasalaam.
Kibali changu cha uhamisho kimetoka japo kimekosewa kwenye kada.
Mimi niko idara ya afya na kibali changu kimetoka kikiwa kinani'refer Kama mwalimu.
Nifanyeje? Msaada wanandugu.
 
Wanabodi wasalaam.
Kibali changu cha uhamisho kimetoka japo kimekosewa kwenye kada.
Mimi niko idara ya afya na kibali changu kimetoka kikiwa kinani'refer Kama mwalimu.
Nifanyeje? Msaada wanandugu.
Ulimuandikia nani ombi lako na amekujibu nani?Rudi hukohuko ukawaeleze.Umeshindwa kabisa kutumia makamasi yako kutatua changamoto yako?
 
Hivyo ni vitu viwili tofauti, unakoenda kama wanajielewa hawawezi kukupokea, rudi walipokiandika warekebishe.
 
Wanabodi wasalaam.
Kibali changu cha uhamisho kimetoka japo kimekosewa kwenye kada.
Mimi niko idara ya afya na kibali changu kimetoka kikiwa kinani'refer Kama mwalimu.
Nifanyeje? Msaada wanandugu.
Nenda stationary kanunue correction pen. Futa neno "Mwalimu" andika neno "Afya*! Simple!
 
Hii ndo shida ya kujifanya unajua maswala ya utumishi kumbe wewe ni empty vessel,Huwa nashauri kama hujui jambo ni Bora kukaa kimya kabisa.

barua ya uhamisho Huwa unafikia kwa mkuu wako wa idara, huyo ndo anakuwa na uwezo wa kukuruhusu ikiwa hakuna mashaka,na kama Kuna mashaka atahoji,sasa kwa hoja ya huyo jamaa,ni ngumu mkuu wake wa idara kumpa go ahead wakati barua yake Ina makosa,

Chakufanya awasiliane na mamlaka zilizotoa hiyo barua ili kuondoa huo utata.
nenda kwanza huko unakoenda ukifka watarekebisha fanya fasta
 
Ningekuwa mimi ilimradi mshahara wangu hauathiriki ningeenda shule yoyote kuripoti na kupumzika nyumbani
 
Back
Top Bottom