Kibaki plans to build multi-billion hotel and a mini city

Sasa iyo hotel mnayobishania sina uhakika hata kama kuna mtu humu wa Kenya atanufaika nayo directly hata kwa kupata kazi ya kufungua gate
 
Heri kuwa masikini ukijua hakuna anayesababisha umasikini wako, kwamba wote mnagawana kilichopo kwa usawa, kuliko kuwa masikini wakati unamuona MTU anayesababisha umasikini na unampongeza kwa kusababisha umasikini wako, hiyo ni SIFA kubwa ya failed State.

you nailed it my broda
this's why the class struggle will never end in Kenya.
 
Former President Mwai Kibaki will build a luxurious five-star hotel next to the Menengai Crater in Nakuru.

The multibillion-shilling investment, its promoters say, is informed by heightened global interest in the long-forgotten crater that last experienced a volcanic explosion 8,000 years ago.

Regulatory filings indicate the project by the Kibaki family’s company Gingalili (1968) Ltd will occupy 692 acres next to the crater where a 100MW geothermal field is under development.

PUBLIC SUBMISSIONS

On Wednesday, the National Environment Management Authority (Nema) invited the public to file submissions within the next 30 days before a decision is made on whether or not to allow its implementation.

“Nema invites members of the public to submit oral and written submissions within 30 days to assist the authority in the decision-making process for this project,” said the Nema notice in the dailies.

According to the report, Gingalili plans to build a mini-city that will include educational institutions, low, medium and high income residential units as well as a commercial centre on both sides of the Nyahururu-Nakuru Road that cuts through the property.

COMMERCIAL BUILDINGS

The report said office blocks will be put up within the area designated for commercial buildings developments on both sides of the road.

The project, located 15 kilometres from Nakuru town, has witnessed subdivision of 800 acres into residential plots measuring one eighth, half and one acre for sale to individuals and institutions.

An earlier statement from the family indicated that high-end homes would also be for leasing and sale within a gated community that will host the luxurious hotel.

Kibaki plans to build multi-billion hotel and a mini-city |
Tanzania ukifanya hivyo utaitwa fisadi ni bora pesa ufiche nje ya nchi kuliko kuwekeza nchini mwako.Umasikini ni sifa nzuri kwa mtanzania
 
hahaha, how can u compare mbeya and Nakuru?? mbeya ni kama voi town huku kenya hizo unasikia ni city Tanzania mkiziona mtacheka
 
Nasikia wakisema Tanzania hakuna ufisadi wakati wako zaidi ya kenya, tatizo kwao media zina controliwa na serekali uwezi tangaza kitu kabla ya kupitiwa na serekali. naona mmesahau

buzwagi
escrow
mishahara hewa
sakata la radar
etc
 
Mbeya has 2 Breweries Serengeti n TBL, 2 soft beverages factories coca cola n Pepsicola, International standard airport, Tazara railway, ceramic factory, coal minings, medical gases from Tanzania oxygen limited aside vibrant agriculture with coffee, cacao n ricepaddy leading. A port at Kyela. Nakuru can't weigh itself to Mbeya. Wacha ujinga! BTW over $3 bln worth of Helium gas discovered! A further blns worth of Nobium n graphite deposits aside plenty of wildlife n natural vegetation!
wewe jamaa huku JF unafanya kazi ya kudanganya wakenya .......


mbeya na serengeti breweries wap na wap?..... looks like hata mbeya hujawahi fika! jamaa mwongo kama magufuli wako hahahhaaaaa
 
Back
Top Bottom