VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Watu wa Kibaha Mjini wameona mwanga wa ukombozi.Wanaihitaji CHADEMA.Hatahivyo,hawako tayari kusimamishiwa Habib Mchange kama Mgombea wa CHADEMA kwenye Uchaguzi Mkuu wa 2015 au hta kwenye Uchaguzi mdogo 'utakapotokea'.Wana sababu zao:
Kwanza,wanaamini kuwa Mchange alishinda uchaguzi wa 2010 dhidi ya Mbunge wa sasa wa Kibaha Mjini Silvestry Koka(2CCM).Lakini,waamlaumu Mchange kwa 'kuhongwa' na Koka na kwenda UDOM kuendelea na masomo bila hata ya kukata rufaa.
Pili,wanadai kuwa Mchange si msafi kijina.Jina lake liliingia doa kwenye Uchaguzi wa BAVICHA Taifa kwa ku9onekana kuwa alitoa rushwa na kuenguliwa katika kugombea Uenyekiti uliokwenda kwa Heche.
Tatu,wanadai kuwa Mchange ni 'kibaraka' wa Zitto Kabwe ambaye wanachukizwa naye kwa tabia yake ya kutaka kuwachagulia Mbunge badala ya wao kumchagua wamtakaye.Sasa,wanaukataa Ufalme kwa nguvu zote.
Mimi tu kuwaletea habari...
Kwanza,wanaamini kuwa Mchange alishinda uchaguzi wa 2010 dhidi ya Mbunge wa sasa wa Kibaha Mjini Silvestry Koka(2CCM).Lakini,waamlaumu Mchange kwa 'kuhongwa' na Koka na kwenda UDOM kuendelea na masomo bila hata ya kukata rufaa.
Pili,wanadai kuwa Mchange si msafi kijina.Jina lake liliingia doa kwenye Uchaguzi wa BAVICHA Taifa kwa ku9onekana kuwa alitoa rushwa na kuenguliwa katika kugombea Uenyekiti uliokwenda kwa Heche.
Tatu,wanadai kuwa Mchange ni 'kibaraka' wa Zitto Kabwe ambaye wanachukizwa naye kwa tabia yake ya kutaka kuwachagulia Mbunge badala ya wao kumchagua wamtakaye.Sasa,wanaukataa Ufalme kwa nguvu zote.
Mimi tu kuwaletea habari...