ni kweli mtoto anaongoza kibaha mjini,koka wa ccm chupi inabana,mtoto anaongoza maeneo ya mwanalugali,picha ya ndege, tumbi, matokeo ambayo hayajatangazwa ni kata ya boko kituo cha tumbi kibaha secondary shule aliyosoma Kikwete amepata kura 40,MR Weapon(slaa)98 kumbe hata walimu wake hawamkubali