Kibadeni kocha mpya Simba

Kibadeni kocha mpya Simba

Ipo siku tutasikia Profesa Maji Marefu ni kocha wa Simba Koko SC ya Msimbazi.

Kwa hiyo mnacheza Kinesi safari hii?
 
Hii tabia ya viongozi kubadilisha kocha kila baada ya muda mfupi sio nzuri, anyway wao ndo wenye maamuzi, karibu Msimbazi.
 
Ipo siku tutasikia Profesa Maji Marefu ni kocha wa Simba Koko SC ya Msimbazi.

Kwa hiyo mnacheza Kinesi safari hii?
Profesa Maji Marefu tulimpa kazi ya kuwatengua ankle Niyonzima na Msuva ili wasicheze mechi ya 18 May, sijui ilimshinda.
 
Dah,kwanini hawakumpa julio na zile mbwembwe zake angeweza kuwafuta machozi watani.
 
Wamemfukuza yule Mfaransa lini? au Mkataba umeisha?? Cha ajabu utakuta ni wa muda tu.
 
Natamani sana kuvuta interest zangu kwenye soka la nyumba lakini danadana na adabra kadabra zake aaghhhhhhhhhh

Acha niendelee tu kufurahia kuwatazama "The Busby-Fergy Boys"
 
Simba ni timu kubwa wamfanikishie mourinho Aje siye wanachama tuko yatari kuchangishana kumlipa mshahara nk nk
 
kapewa mkataba au ndio deiwaka?

Kaegeshwa tu! Kwa wale wanaofahamu 'Statics', jamaa yuko 'simply supported' hivyo yuko 'Statically Determinate', anaweza kuhimili 'vertical loads' pekee yaani wakati wanashinda tu. Ikija 'horizontal force' yaani kufungwa ni lazima aanguke. Kila la heri Kibadeni, usitoe nguo zote kwenye begi ili muda ukifika usepe fasta.
 
Mbona sijaona kitu?

Angalia vizuri Mkuu. Ukiona maneno 'Account Suspended' right click halafu kong'oli 'open' utaona mkataba wake. Ukiona hufanikiwi wasiliana na Administrator. Pole sana Mkuu. Hapa ni kekundu, ... ndiyo waliwao.
 
Angalia vizuri Mkuu. Ukiona maneno 'Account Suspended' right click halafu kong'oli 'open' utaona mkataba wake. Ukiona hufanikiwi wasiliana na Administrator. Pole sana Mkuu. Hapa ni kekundu, ... ndiyo waliwao.
Naona unatucheka kimya kimya mkuu, sisi bado tuko kwenye analogy, hii digital naona chama langu limeipitia pembeni, itabidi tutengeneze hata blog.
 
Naona unatucheka kimya kimya mkuu, sisi bado tuko kwenye analogy, hii digital naona chama langu limeipitia pembeni, itabidi tutengeneze hata blog.

Mkuu wewe ni mwanamichezo wa ukweli, uko juu. Penye ukweli huwa hupepesi macho wala masikio. Rage anashindwa hata ku-Operate tovuti! Hebu linganisha na hapa: www.youngafricans.co.tz
 
Back
Top Bottom