Sasa bifu likisha huyu jamaa huduma hii ataipata wapi? na hawa wanafanya hivi kwa madonge yao wakijiaminisha kuwa wana mrusha mtu roho.Kinadharia hakuna "bifu" ila kuna mtu/watu wanapuliza, na anayepuliziwa anapenda kwa kuwa linamsaidia.
![]()
![]()
Huyu hawezi kukubari hiki kitu kife,maana ndio kitakuwa kifo chake na hata watu wake wa karibu wamemwambia hivo na ndio maana akiwa anahojiwa popote lazima aseme cha kSasa bifu likisha huyu jamaa huduma hii ataipata wapi? na hawa wanafanya hivi kwa madonge yao wakijiaminisha kuwa wana mrusha mtu roho.