vivian
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 1,749
- 1,000
Ni wazi kwamba Serikali hii ya Awamu ya Nne imekua na kesi nyingi za kupinga matokeo ya Ubunge kuliko serikali ya awamu yeyote ile katika Historia ya nchi yetu.
Kwa vile hapa jamvini kuna makada wa vyama tofauti, Tunashangalia pale Mbunge wa upande wetu ameshinda kesi au pale mbunge wa chama Pinzani amevuliwa ubunge.
Hapa naona tunajikaanga kwa mafuta yetu wenyewe,
Gharama za uchaguzi ziko juu sana, kurudia uchaguzi ni kujiingiza katika gharama ambazo tungeweza kuziepuka kama mamlaka husika zingeweza kusimamia vyema swala zima la Uchaguzi.
Mpaka sasa kuna wabunge wawili wamevuliwa Ubunge, Mmoja wa Chadema na mwingine wa CCM. Kwahiyo mpaka dakika hii ni ngoma Droo kwa vyama vyote.
Who do you think is in the loosing End up to this point?
Kwa vile hapa jamvini kuna makada wa vyama tofauti, Tunashangalia pale Mbunge wa upande wetu ameshinda kesi au pale mbunge wa chama Pinzani amevuliwa ubunge.
Hapa naona tunajikaanga kwa mafuta yetu wenyewe,
Gharama za uchaguzi ziko juu sana, kurudia uchaguzi ni kujiingiza katika gharama ambazo tungeweza kuziepuka kama mamlaka husika zingeweza kusimamia vyema swala zima la Uchaguzi.
Mpaka sasa kuna wabunge wawili wamevuliwa Ubunge, Mmoja wa Chadema na mwingine wa CCM. Kwahiyo mpaka dakika hii ni ngoma Droo kwa vyama vyote.
Who do you think is in the loosing End up to this point?