Waturudishie jimbo letu hatutaki longo longo magufuli keshagoma na mavilometer aliyoahidiwapuuzi hawa, wamekatalia pesa zetu!
penye haki always uongo hujitenga. tulianza na MUNGU na mpaka 2015 tutamaliza na MUNGU.Imekula kwao magamba mungu akiwa upande wetu hakuna alie juu yetu
Kwa niliyoyaona segerea hapa hamna kesi ya kushiinda ccm
As we move forward, anaweza kujikuta yeye ndiye anachinjwa. Sasa hivi watu wana hasira sana na CCM, na ili kulijua hili wajichanganye na watu wa kawaida au waitishe mikutano ya hadhara waone muitikio.Mwingulu Nchemba uchaguzi huo unakuja igunga sijui umejiandaa kuuwa makada wa chadema wangapi safari hii maana unahasira kweli safari hii.....
Mwingulu Nchemba uchaguzi huo unakuja igunga sijui umejiandaa kuuwa makada wa chadema wangapi safari hii maana unahasira kweli safari hii.....