J.o.s.e.p.h
Member
- Mar 4, 2012
- 20
- 1
Mungu ni mwema sana na ninamini kesho atakwenda kusimamia haki itendeke ili huyu lissu mgomvi na mwenye kiburi akapate kuenguliwa kwenye nafasi yake kwani yupo hapo kimakosa na hana maadili ya uongozi.
Kenge mzee wewe.