08 October 202
Zanzibar, Tanzania
KESI YA CUF DHIDI YA TUME YA UCHAGUZI ZANZIBAR YAENDELEA KUSOTA MAHAKAMANI
Wakili wa Bw. Hamad Masoud anayewania kiti cha urais wa serikali ya Zanzibar azungumza, hata ya mwanzo ya mapingamizi kuwa mahakama haiwezi kusikiliza kesi hiyo yaliyoletwa mahakamani yametupiliwa mbali, hivyo kesi ya Bw. Hamad Masudi dhidi ya Tume ya Uchaguzi ya Zanziba kuanza kusikilizwa
View: https://m.youtube.com/watch?v=lZoecBHkvKU
Hapo awali :
September 10, 2025: " Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar ZEC imemuengua Bw.Hamad Masoud Hamad kuwania Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha wananchi- CUF kwa kutokukidhi kigezo cha kuwa wanachama mia mbili katika mkoa wa Kaskazini Unguja huku mgombea wa ACT wazalendo Bw.Othman Masoud Othman akitakiwa mpaka kesho saa tatu asubuhi awe amewasilisha katika tume hiyo majina ya wanachama wake wa mikoa ya Kaskazini Unguja na Kusini Unguja.
Jaji George Joseph Kazi mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar
Zanzibar, Tanzania
KESI YA CUF DHIDI YA TUME YA UCHAGUZI ZANZIBAR YAENDELEA KUSOTA MAHAKAMANI
Wakili wa Bw. Hamad Masoud anayewania kiti cha urais wa serikali ya Zanzibar azungumza, hata ya mwanzo ya mapingamizi kuwa mahakama haiwezi kusikiliza kesi hiyo yaliyoletwa mahakamani yametupiliwa mbali, hivyo kesi ya Bw. Hamad Masudi dhidi ya Tume ya Uchaguzi ya Zanziba kuanza kusikilizwa
View: https://m.youtube.com/watch?v=lZoecBHkvKU
Hapo awali :
September 10, 2025: " Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar ZEC imemuengua Bw.Hamad Masoud Hamad kuwania Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha wananchi- CUF kwa kutokukidhi kigezo cha kuwa wanachama mia mbili katika mkoa wa Kaskazini Unguja huku mgombea wa ACT wazalendo Bw.Othman Masoud Othman akitakiwa mpaka kesho saa tatu asubuhi awe amewasilisha katika tume hiyo majina ya wanachama wake wa mikoa ya Kaskazini Unguja na Kusini Unguja.
Jaji George Joseph Kazi mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar