mwanamwana
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,410
- 4,988
Mahakama Kuu Masjala ndogo ya Dar es Salaam leo September 16, 2025 imehairisha Kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu hadi September 18, 2025 ili upande Jamhuri uanze kujibu hoja za Lissu ambazo ameiomba Mahakama imuachie huru kutokana upungufu wa hati ya mashikata.
Katika kesi hiyo Lissu anakabiliwa na shtaka la uhaini kinyume na kifungu cha 39(2) (d) cha sheria ya kanuni ya adhabu linalotokana na maneno aliyotamka kuhusiana na kuzuia kufanyika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025.
Pia soma
Katika kesi hiyo Lissu anakabiliwa na shtaka la uhaini kinyume na kifungu cha 39(2) (d) cha sheria ya kanuni ya adhabu linalotokana na maneno aliyotamka kuhusiana na kuzuia kufanyika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025.
Pia soma