Kesi ya kikatiba huwa hayatajwi majina ya watu wala kushitaki watu, za watu ni za jinai

YEHODAYA

JF-Expert Member
Aug 9, 2015
36,908
51,904
Kesi za kikatiba huwa ni tofauti na za jinai au madai.Za katiba huwa hawatajwi watu wala hushtaki watu unaomba ufafanuzi wa maswala ya kikatiba tu.Ukishtaki mtu kwenye mahakama ya katiba hiyo kesi umepeleka pasipo umeingia choo cha kike wakati wewe ni mwanaume.Hiyo kesi jaji lazima aitupilie mbali
 
Afanalek
Ati huyu kilaza anajua sheria kuliko Lissu na Kibatala
 
Kesi za kikatiba huwa ni tofauti na za jinai au madai.Za katiba huwa hawatajwi watu wala hushtaki watu unaomba ufafanuzi wa maswala ya kikatiba tu.Ukishtaki mtu kwenye mahakama ya katiba hiyo kesi umepeleka pasipo umeingia choo cha kike wakati wewe ni mwanaume.Hiyo kesi jaji lazima aitupilie mbali
Kwa hyo kesi ya Mbowe dhidi ya wale watendaji watukufu imeshatupiliwa mbali?
 
Kesi za kikatiba huwa ni tofauti na za jinai au madai.Za katiba huwa hawatajwi watu wala hushtaki watu unaomba ufafanuzi wa maswala ya kikatiba tu.Ukishtaki mtu kwenye mahakama ya katiba hiyo kesi umepeleka pasipo umeingia choo cha kike wakati wewe ni mwanaume.Hiyo kesi jaji lazima aitupilie mbali
Sory labda ni sababu ya uelewa wangu mdogo katika sheria. Vipi kuhusu kesi za kina mtikila mbona ni za kikatiba na zina majina?
 
Back
Top Bottom