utukufu mwanjisi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2017
- 2,830
- 2,417
Leo jion nimekaa nikayakumbuka makaburi mawili nikasema ngoja niwakumbushe wahenga humu ndani either nitapata majib yaliyonyooka.
1. Hivi ile kesi ya DED wa Itigi ambayo alituhumiwa kumuua raia kanisan na ilionekana kuna ushahidi wa kutosha kutoka kwa mashuhuda ndani ya kanisa iliishia vipi?
2. Jana nimeona kesi iliyofunguliwa kuhusu kuzuia wakurugenzi kusimamia uchaguzi na upande wa mshati ulishinda hiyo kesi mbele ya Jaji ngwala. .Lakin swali langu linabak kuwa kumbe walipatana au kesi imewaunganisha nadhan picha itajieleza huku nikihitaj majibu ni lini na wap walipatana?
1. Hivi ile kesi ya DED wa Itigi ambayo alituhumiwa kumuua raia kanisan na ilionekana kuna ushahidi wa kutosha kutoka kwa mashuhuda ndani ya kanisa iliishia vipi?
2. Jana nimeona kesi iliyofunguliwa kuhusu kuzuia wakurugenzi kusimamia uchaguzi na upande wa mshati ulishinda hiyo kesi mbele ya Jaji ngwala. .Lakin swali langu linabak kuwa kumbe walipatana au kesi imewaunganisha nadhan picha itajieleza huku nikihitaj majibu ni lini na wap walipatana?