Kesi ya CUF kwa Lipumba na Msajili

Kesi ya CUF kwa Lipumba na Msajili

Balagha

Member
Joined
Oct 8, 2016
Posts
21
Reaction score
17
Wadau habar.
Mwenye taarifa nzuri jamani atupashe hivi ile kesi iliyofunguliwa na cuf kumshitaki msajili na lipumba imefika wapi? Maana naona prof. ambaye ni mwenyekiti halali akifanya kazi za chama ikiwemo hushiriki usafi wa jmosi ila mtatiro anakula nchi tu SA.
 
Mwenye contact za Pro pessa anipatie nimtafute aje mtaani kwetu kufanya usafi. Namhakikishia wapiga picha za mnato na video watakuwepo wa kutosha.
Ni heshima iliyoje mtaa wetu kusafishwa na mtaalam wa uchumi na Mwenyekiti wa zamani wa chama cha siasa. Mitaa mingine watatuheshimu sana
 
Chakaza inawezekana hauna wazazi na kama unao basi wamejizaa maana ukipanda mchungwa utavuna machungwa
 
Ukiona mtu anamchuakia mtu aliyesoma ujue hakua na akili shuleni kwao,mtu kufanya usafi siyo kosa,kosa ni kufyeka chakura cha watu ili wafe njaa,mwambieni seif hizo siasa za mogadishu awache wapemba waishi kwa amani.
 
Back
Top Bottom