Kesi ya akina Mdee: Ndugai na Mahera Kortini

Kesi ya akina Mdee: Ndugai na Mahera Kortini

Taarifa kutoka Mahakamani zinaeleza kwamba , miongoni mwa mashahidi Muhimu kwenye kesi iliyofunguliwa na Mamluki Halima Mdee na wenzake 18 dhidi ya CHADEMA , watakaohojiwa na Mawakili wa Utetezi , yumo Spika aliyefurushwa madarakani , Job Ndugai na Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Dr Mahera .

Chanzo : Raia Mwema .

Endelea kufuatilia hapahapa JF kwa taarifa zaidi .
Hakika
Screenshot_20220730-090012.jpg
 
Back
Top Bottom