Kesi ya ACACIA

vyovyote iwavyo!! jambo la msingi ni kwamba tumegundua kuwa mkataba wa accacia ni wa kinyinyaji na wizi. Naunga mkono juhudi za JPM hata kama tukitakiwa kulipa fidia, ni sawa tu.
Siyo kila mfungwa alitenda kosa!!
Ni mikataba wa uwizi aliyoingia Mwekezaji ACACIA na nani sijui..maana wauita mkataba wa ACACIA wakati ni mkataba wa uwekezaji umeridhiwa na pande zote yaani Serikali na wao. Acha mahaba kaka jaribu kuwa msomi na sio mwanasiasa.
 
Hiyo nia njema ya kushusha bei ya hisa za acacia London si ndio?
Nia njema ya kuhakikisha tanzania inapata inachostahili.
Wewe unaumia kushuka kwa hisa kuliko kufurahia jitihada za kutafuta kama Kuna pesa yako huwa inaibiwa.
Hakuna namna
 
Hivi ndio nilitarajia ungekuwa waleta mada za namna hii hapa Jukwaani. Wote tunamuunga mkono Mh. Rais kwa jitihada zake nzuri lakini ziwe zinazingatia natural justice. Imani ya Rais hata kabla hajachukua form ilikuwa ni sisi kuibiwa madini na wawekezaji. Basi angetafuta ukweli kupitia mikataba kama vile kubaini vipimo vinavyopunguza aina za madini na uwingi wa madini katika makinika na kuunda tume kama ya Prof Mruma ishirikiane taasisi huru za kimataifa kubaini ukweli wenye uwakilishi wa pande zote..mwekezaji na serikali. Kwa sasa serikali tu ina imetoa maoni yake bado wawekezaji wanahisi wako sahihi. Vyema tubalance story tuwashitaki na kuwaadhibi kwa haki.
 

Hata mseme nini....tunachotaka ni ukweli kuhusu uchimbaji madini hapa nchini tz.

T 2017 JPM
 
vyovyote iwavyo!! jambo la msingi ni kwamba tumegundua kuwa mkataba wa accacia ni wa kinyinyaji na wizi. Naunga mkono juhudi za JPM hata kama tukitakiwa kulipa fidia, ni sawa tu.
Siyo kila mfungwa alitenda kosa!!
Mawazo kama haya yatapelekea tuwaachie hata hio 4% maana gharama za fidia nazo zitatushinda.
tutumie akili jamani
 
Nia njema ya kuhakikisha tanzania inapata inachostahili.
Wewe unaumia kushuka kwa hisa kuliko kufurahia jitihada za kutafuta kama Kuna pesa yako huwa inaibiwa.
Hakuna namna
Hio nia njema inaweza hata isifae kama misingi ya kutatua tatizo inapuuzwa. Sisi sio wakenya au useme ni wasomali kiasi kwamba hatupendi nchi inufaike na dhahabu, tunataka tusipoteze tena kwa namna ile ile ya kizamani kwa kutotimiza matakwa ya kisheria na ya kimikataba.
 
Hili liko wazi walikurupuka..
Wakikurupuka si ndio furaha yako upate kuandika mipost yako kama mwendawazimu.... siasa zimekutoa akili ila bado hujajielewa kama wewe ni chizi siasa.
 
Nadhani kuna haja ya kupima hoja kwa umakini mkubwa siyo kuweka mbele ushabiki au mihemko yetu.
 
Sasa itaanzia wapi kama ripoti haitatambulika kimataifa? Hivi tunadhani mikataba ya kimataifa ni kama amri za Rais kwa wateule wake? Noo
 
Wangefukuza tu ii acacia,..INA gharama kubwa
Mkuu kwenye mambo ya mikataba hufukuzi tu unapoamua kumbuka mtu kasainishwa mkataba tena mkiwa na akilo timamu so ukivunja kwa sababu ya mihemko mwenzio anakimbilia mahakamani kufungua kesi ya madai....... hapo mkataba utakuwa umevunja ila mapesa utakayomlipa ni sawa na faida kma angechimba mgodi wako kwa miaka 5!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…