Kesi dhidi ya Mbunge Tundu A. Lissu

Idimulwa

JF-Expert Member
May 27, 2011
4,503
1,722
Kuna tukio la uvamizi wa mgodi wa North Mara lilitokea na kupelekea mauaji ya raia kufanywa na jeshi la polisi wilayani Tarime.Tukio lile lilisababisha rabsha nyingi kama polisi kuvamia chumba cha maiti hospitalini Tarime na kuzichukua maiti za wahanga na baadaye kuzitelekeza barabarani,nikatika sakata hilohilo tulisikia habari za mbunge wa Tarime Mh.Nyambari kushambuliwa na wananchi kiasi kuchaniwa shati kisha kuokolewa na walinzi wake.Nikadhia hii hii ilipelekea Mbunge Tundu Lisu na wenzake kadhaa kutupwa ndani na kufunguliwa mashitaka,naomba kama kuna anayefahamu mwenendo wa kesi hii anijuze imefikia wapi kwani imekuwa ni muda mrefu sana zaidi inasikika ile kesi ya maandamano ya CHADEMA na ile ya kupinga matokeo ya ubunge kule Arusha.
 
Kuna tukio la uvamizi wa mgodi wa North Mara lilitokea na kupelekea mauaji ya raia kufanywa na jeshi la polisi wilayani Tarime.Tukio lile lilisababisha rabsha nyingi kama polisi kuvamia chumba cha maiti hospitalini Tarime na kuzichukua maiti za wahanga na baadaye kuzitelekeza barabarani,nikatika sakata hilohilo tulisikia habari za mbunge wa Tarime Mh.Nyambari kushambuliwa na wananchi kiasi kuchaniwa shati kisha kuokolewa na walinzi wake.Nikadhia hii hii ilipelekea Mbunge Tundu Lisu na wenzake kadhaa kutupwa ndani na kufunguliwa mashitaka,naomba kama kuna anayefahamu mwenendo wa kesi hii anijuze imefikia wapi kwani imekuwa ni muda mrefu sana zaidi inasikika ile kesi ya maandamano ya CHADEMA na ile ya kupinga matokeo ya ubunge kule Arusha.
Kesi nyingi za kisiasa huwa zinachukua muda mrefu kwa sababu makimu huwa wanawasahaulisha wanasiasa ili wasionekane wanapendelea wapinzani.Haya ni maoni yangu maana imekuwa kawaida matukio ya aina hii kuchukua muda mrefu.
 
Kesi nyingi za kisiasa huwa zinachukua muda mrefu kwa sababu makimu huwa wanawasahaulisha wanasiasa ili wasionekane wanapendelea wapinzani.Haya ni maoni yangu maana imekuwa kawaida matukio ya aina hii kuchukua muda mrefu.

wanaJF,
Kesi dhidi ya Tundu Lisu na wenzake(Waitara na wenzao) ilifutwa takriban miezi 5 iliyopita. Ndiyo hivyo tena kawaida ya kesi za kisiasa. Tundu hata siku moja hata kusimama tu mbele ya Hakimu hakusimama.
 
wanaJF,
Kesi dhidi ya Tundu Lisu na wenzake(Waitara na wenzao) ilifutwa takriban miezi 5 iliyopita. Ndiyo hivyo tena kawaida ya kesi za kisiasa. Tundu hata siku moja hata kusimama tu mbele ya Hakimu hakusimama.

dr. Heshima yako, tunawasubili kwa humu huku Usa njooni haraka tuanze kupachimba.
 
Haya ni baadhi ya matukio ya kuweka kumbukumbu ili siku ikifika haki itendeke wahusika wafikishwe mahakamani 2015 si mbali ninaimani polisi wote bado watakuwepo kazini, wahojiwe na watoe ushahidi.
 
Asante kwa taarifa Dr, endeleeni na mapambano iko siku Mungu atasikia kilio cha watanzania, mafisadi wataporomoka kwa aibu.
 
wanaJF,
Kesi dhidi ya Tundu Lisu na wenzake(Waitara na wenzao) ilifutwa takriban miezi 5 iliyopita. Ndiyo hivyo tena kawaida ya kesi za kisiasa. Tundu hata siku moja hata kusimama tu mbele ya Hakimu hakusimama.

Tunashukuru dr kwa kilimaliza hili mapema maana magamba wangeropokwa na mapovu kuyatoka midomoni mpaka basi, kazi njema dr
 
wanaJF,
Kesi dhidi ya Tundu Lisu na wenzake(Waitara na wenzao) ilifutwa takriban miezi 5 iliyopita. Ndiyo hivyo tena kawaida ya kesi za kisiasa. Tundu hata siku moja hata kusimama tu mbele ya Hakimu hakusimama.

Tunashukuru kwa Taarifa yako Mh Rais, mungu akuongezee maisha marefu kwani bado tunakuhitaji na tunakuamini katika Taifa letu.
 
wanaJF,
Kesi dhidi ya Tundu Lisu na wenzake(Waitara na wenzao) ilifutwa takriban miezi 5 iliyopita. Ndiyo hivyo tena kawaida ya kesi za kisiasa. Tundu hata siku moja hata kusimama tu mbele ya Hakimu hakusimama.

heshima yako mkuu.kweli kesi za kisiasa promo kubwa.mwisho wa siku watu wanagongea chiaz
 
wanaJF,
Kesi dhidi ya Tundu Lisu na wenzake(Waitara na wenzao) ilifutwa takriban miezi 5 iliyopita. Ndiyo hivyo tena kawaida ya kesi za kisiasa. Tundu hata siku moja hata kusimama tu mbele ya Hakimu hakusimama.

ni habari njema kwa wapenda hak. Dr. Watz tuna hali mbaya kimaisha, maisha yamekuwa magumu mara dufu zaidi. Tumia vipasa sauti vizuri.
 
wanaJF,
Kesi dhidi ya Tundu Lisu na wenzake(Waitara na wenzao) ilifutwa takriban miezi 5 iliyopita. Ndiyo hivyo tena kawaida ya kesi za kisiasa. Tundu hata siku moja hata kusimama tu mbele ya Hakimu hakusimama.

Asante sana mkuu kwa ufafanuzi wako...Jumapili njema.
 
wanaJF,
Kesi dhidi ya Tundu Lisu na wenzake(Waitara na wenzao) ilifutwa takriban miezi 5 iliyopita. Ndiyo hivyo tena kawaida ya kesi za kisiasa. Tundu hata siku moja hata kusimama tu mbele ya Hakimu hakusimama.

Thanks my Comrade, Presidential Material for 2015.
 
wanaJF,
Kesi dhidi ya Tundu Lisu na wenzake(Waitara na wenzao) ilifutwa takriban miezi 5 iliyopita. Ndiyo hivyo tena kawaida ya kesi za kisiasa. Tundu hata siku moja hata kusimama tu mbele ya Hakimu hakusimama.

Nimeamini tunae, Muongoza njia kuelekea Ukombozi!
Mchana mwema Commender!
 
wanaJF,
Kesi dhidi ya Tundu Lisu na wenzake(Waitara na wenzao) ilifutwa takriban miezi 5 iliyopita. Ndiyo hivyo tena kawaida ya kesi za kisiasa. Tundu hata siku moja hata kusimama tu mbele ya Hakimu hakusimama.

Thanks Dr.Tunakukubali.Always a leader
 
..MMHH,
nimefarijika sana na majibu ya Dr.. viongozi wachache sana wanajali kufuatilia mabo yanayowasumbua watu wa kawaida na kuchukua hata nukta chache kujibu hoja kama hivi. NIMEFARIJIKA SANAAAA. MUNGU AKUBARIKI NA ATIMIZE DHAMIRA ZAKO NJEMA KWA BINADAMU NA TAIFA HILI. nimekuaminiaa.. sikutegemea ungekuja kasi hivi na kutoa ufafanuzii hivi.. asante DR
 
wanaJF,
Kesi dhidi ya Tundu Lisu na wenzake(Waitara na wenzao) ilifutwa takriban miezi 5 iliyopita. Ndiyo hivyo tena kawaida ya kesi za kisiasa. Tundu hata siku moja hata kusimama tu mbele ya Hakimu hakusimama.

Kesi zingine hata taaluma ya uanasheria zinaiaibisha if Judges they will just do kufuata matakwa ya viongozi walio madarakani, mfano wananchi wa walivyo adhiriwa na sumu GGM Tarime na serikali ilikuwa kimyaa... Watu walinyauka, sasa wanaharakati wakipinga serikali inawalinda they so called wawekezaji while ni wauaji na kiuchumi hata pato wanalopata halisaidii taifa, madini yote nje yanakwendaa...serikali haitaki kubadili au ku stopisha sera mbovu kabisa duniani za madini zilizopo hapa Tz only....hatupati kitu...
 
wanaJF,
Kesi dhidi ya Tundu Lisu na wenzake(Waitara na wenzao) ilifutwa takriban miezi 5 iliyopita. Ndiyo hivyo tena kawaida ya kesi za kisiasa. Tundu hata siku moja hata kusimama tu mbele ya Hakimu hakusimama.

Dr. Ubarikiwe sana, my president to be. Tanzania tunazaririshwa sana na Serikari yetu ya sasa. Maisha mangumu si uwe umesoma au haujasoma, kazi wanapeana wao kwa wao. Naomba ifike wakati busara tuiweke pembeni, watu wnauliwa bila sababu, matajiri ndo wanaamua waiendeshe vpi!! Mungu akupe afya njema Dr
 
wanaJF,
Kesi dhidi ya Tundu Lisu na wenzake(Waitara na wenzao) ilifutwa takriban miezi 5 iliyopita. Ndiyo hivyo tena kawaida ya kesi za kisiasa. Tundu hata siku moja hata kusimama tu mbele ya Hakimu hakusimama.

Thanks for information my president,acha J K azurure hovyo nchi za watu
 
wanaJF,
Kesi dhidi ya Tundu Lisu na wenzake(Waitara na wenzao) ilifutwa takriban miezi 5 iliyopita. Ndiyo hivyo tena kawaida ya kesi za kisiasa. Tundu hata siku moja hata kusimama tu mbele ya Hakimu hakusimama.


Thanks sana Dr Slaa,

Kwanza tunakushukuru kwa taarifa za mara kwa mara kuhusu mustakabali wa nchi yetu, watu wengi sana wanafuatilia mambo ambayo yanaendelea nchi hii kupitia mtandao na wewe umekuwa mstari wa mbele katika kutuhabarisha.

Pili tunashukuru sana kwa kwenda na wakati kwani kwa umri ulionao siyo rahisi kufuatilia kila kinachoendelea nchi hii na hasa kupitia mitandao ya jamii hii inatupa faraja na imani kubwa juu ya uwezo wako.

Mungu akubariki na mapambano daima nasi tuanakuunga mkono

Thanks
 
Back
Top Bottom