Lofawamali
JF-Expert Member
- Jun 9, 2014
- 304
- 146
Habari zenu keaho nimeamua mwenyewe kuachana na Halotel nahamia zangu Ttcl rasmi.
Nimejaribu kuwavumilia haka kamchezo kao ka kupoteza dira kwenye suala la internet coverage, Lakini yamenishinda kwa kweli.
Kwa nini hata hawatujali wateja wake?? Costumer care kuwapata shida.Hata ukipatwa na dharura wewe mezea mate tu mana si rahisi kuwapata.
Shaabashhhhh !!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimejaribu kuwavumilia haka kamchezo kao ka kupoteza dira kwenye suala la internet coverage, Lakini yamenishinda kwa kweli.
Kwa nini hata hawatujali wateja wake?? Costumer care kuwapata shida.Hata ukipatwa na dharura wewe mezea mate tu mana si rahisi kuwapata.
Shaabashhhhh !!!
Sent using Jamii Forums mobile app
