Michael Ngusa
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 1,637
- 458
Tunafanya nae kazi, na ninamzimia kinyama sema huwa naona I'm out of her league. Wikendi iliyopita nilimpigia simu kuanza kujenga ukaribu, hakupokea! But kesho salio linaingia so nimemtumia ujumbe kuwa ninamualika dinner Serena hotel kesho jioni, kakubali!
Hofu yangu: nijipange na salio kiasi gani mfukoni pale Serena (kwa wenye uzoefu)? Ndoto zangu ni kumuoa, nitafanikiwa au ntaishia kuchunwa? Ni mdada wa khindi mrembo sana yaani so nataka nitunishe misuli, na the best approach until now ni mwaliko wa dinner. Ni sawa kumwambia ukweli wa moyo siku hiyohiyo?
Ingawa upande wa pili nahisi nafsi inanilalamikia kwa kiasi ninachotarajia kupoteza kesho ukiznigatia jana na leo sina hata nauli, nakuja kazini kwa mguu.
Hofu yangu: nijipange na salio kiasi gani mfukoni pale Serena (kwa wenye uzoefu)? Ndoto zangu ni kumuoa, nitafanikiwa au ntaishia kuchunwa? Ni mdada wa khindi mrembo sana yaani so nataka nitunishe misuli, na the best approach until now ni mwaliko wa dinner. Ni sawa kumwambia ukweli wa moyo siku hiyohiyo?
Ingawa upande wa pili nahisi nafsi inanilalamikia kwa kiasi ninachotarajia kupoteza kesho ukiznigatia jana na leo sina hata nauli, nakuja kazini kwa mguu.