Kero zangu kuhusu tume ya katiba

mchongameno

Member
Feb 9, 2012
26
16
Napenda kuchukua nafasi hii kutoa maoni yangu kuhusu tume ya mabadiliko ya katiba iliyoteuliwa na Rais Jakaya Kikwete kama ifuatavyo.

Kwanza ni kuhusu suala la uwiano wa wakilishi kutoka katika pande zote za Muungano. Kwa hakika hata kama ndivyo ilivyoamuliwa tangu awali kwamba Wajumbe wa Tume kuwa idadi sawa kati ya Tanzania bara na Zanzibar ni dhahiri kabisa kuwanyima haki watu wa Tanzania Bara ambao idadi yao ni kubwa mno kuliko Tanzania Visiwani. Tanzania Bara ina watu takribani milioni 42 na Zanziba ina watu milioni 2. Hivyo Si sahihi kabisa uwiano kuwa sawa. Kufanya hivyo ni kuwanyima haki watu wa Tanzania Bara. Pili kama kila siku inasisitizwa kwamba baada ya muungano Zanzibar ilipoteza Utaifa wake Je ni kwa kigezo gani kuwa na idadi sawa. Pia Zanzibar wana Katiba yao ambayo haiigiliwi na watu wa Bara. Sasa ni kwanini Katika katiba hii wawe na uwiano wa Idadi ya wajumbe kwenye katiba inayowahusu Watanzania ikiwa wao idadi yao ni ndogo katika muungano?

Suala la Pili ambalo kwangu naona ni tatizo ni hili suala la uwiano wa watu kulingana na Imani zao nikimaanisha dini zao. Kumekuwa na malalamiko mengi hasa kutoka kwa waislam kwa miaka mingi kwamba hawatendewi haki na Serikali hasa kutokana na muundo wa katiba yetu tunayoitumia sasa hivi. Katika Tume hii iliyoundwa na Rais idadi ya Waislam ni kubwa mno hivyo kuibua hisia kuwa Rais ana agenda ya Siri ya kuwabeba Waislam. Hili lina maana kubwa kwani hata Muundo wa Serikali yetu unalalamikiwa kuwa umejaza Waislam wengi kuliko Watu wa Imani nyingine.Tanzania si nchi ya kidini lakini tukumbuke kuwa Watanzania ni watu wenye imani tofauti za kidini.

Suala la tatu ni kuhusu ushiriki wa wajumbe kutoka taasisi mbalimbali kama ilivyoelezwa awali. Pamoja ya kwamba tume imetajwa lakini hakuna ufafanuzi unaoonyesha ushiriki wa wajumbe kutoka Taasisi zao kama tulivoelezwa awali. Ninaongea hivi nikiwa na maana ya kwamba tulielezwa kwamba kutakuwa na wawakilishi kutoka taasisi mablimbali kama Wawakilishi kutoka taasisi za Kisheria, Wanaharakati, Taasisi za kidini, Walemavu, Vyama vya Siasa nk. Lakini katika tume hii hakuna ufafanuzi unaodhihirisha kuwa fulani anawakilisha nini.

Ni matumaini yangu Maoni yangu hayo machache yatafanyiwa Kazi.

Asanteni.
 
Napenda kuchukua nafasi hii kutoa maoni yangu kuhusu tume ya mabadiliko ya katiba iliyoteuliwa na Rais Jakaya Kikwete kama ifuatavyo.

Kwanza ni kuhusu suala la uwiano wa wakilishi kutoka katika pande zote za Muungano. Kwa hakika hata kama ndivyo ilivyoamuliwa tangu awali kwamba Wajumbe wa Tume kuwa idadi sawa kati ya Tanzania bara na Zanzibar ni dhahiri kabisa kuwanyima haki watu wa Tanzania Bara ambao idadi yao ni kubwa mno kuliko Tanzania Visiwani. Tanzania Bara ina watu takribani milioni 42 na Zanziba ina watu milioni 2. Hivyo Si sahihi kabisa uwiano kuwa sawa. Kufanya hivyo ni kuwanyima haki watu wa Tanzania Bara. Pili kama kila siku inasisitizwa kwamba baada ya muungano Zanzibar ilipoteza Utaifa wake Je ni kwa kigezo gani kuwa na idadi sawa. Pia Zanzibar wana Katiba yao ambayo haiigiliwi na watu wa Bara. Sasa ni kwanini Katika katiba hii wawe na uwiano wa Idadi ya wajumbe kwenye katiba inayowahusu Watanzania ikiwa wao idadi yao ni ndogo katika muungano?

Suala la Pili ambalo kwangu naona ni tatizo ni hili suala la uwiano wa watu kulingana na Imani zao nikimaanisha dini zao. Kumekuwa na malalamiko mengi hasa kutoka kwa waislam kwa miaka mingi kwamba hawatendewi haki na Serikali hasa kutokana na muundo wa katiba yetu tunayoitumia sasa hivi. Katika Tume hii iliyoundwa na Rais idadi ya Waislam ni kubwa mno hivyo kuibua hisia kuwa Rais ana agenda ya Siri ya kuwabeba Waislam. Hili lina maana kubwa kwani hata Muundo wa Serikali yetu unalalamikiwa kuwa umejaza Waislam wengi kuliko Watu wa Imani nyingine.Tanzania si nchi ya kidini lakini tukumbuke kuwa Watanzania ni watu wenye imani tofauti za kidini.

Suala la tatu ni kuhusu ushiriki wa wajumbe kutoka taasisi mbalimbali kama ilivyoelezwa awali. Pamoja ya kwamba tume imetajwa lakini hakuna ufafanuzi unaoonyesha ushiriki wa wajumbe kutoka Taasisi zao kama tulivoelezwa awali. Ninaongea hivi nikiwa na maana ya kwamba tulielezwa kwamba kutakuwa na wawakilishi kutoka taasisi mablimbali kama Wawakilishi kutoka taasisi za Kisheria, Wanaharakati, Taasisi za kidini, Walemavu, Vyama vya Siasa nk. Lakini katika tume hii hakuna ufafanuzi unaodhihirisha kuwa fulani anawakilisha nini.

Ni matumaini yangu Maoni yangu hayo machache yatafanyiwa Kazi.

Asanteni.

JAKAYA KIKWETE .Kwanza ututajie ni vigezo gani ametumia kuwateua waislamu wote hao,pili ainishe majukumu ya tume itafanyakazi gani ilitujiridhishe kama uteuzi wake unawiana .huyu yupo kwa ajili ya kutekeleza mpango maalumu wa maazimio ya abuja dhidi ya wakriso.
 
Napenda kuchukua nafasi hii kutoa maoni yangu kuhusu tume ya mabadiliko ya katiba iliyoteuliwa na Rais Jakaya Kikwete kama ifuatavyo.

Kwanza ni kuhusu suala la uwiano wa wakilishi kutoka katika pande zote za Muungano. Kwa hakika hata kama ndivyo ilivyoamuliwa tangu awali kwamba Wajumbe wa Tume kuwa idadi sawa kati ya Tanzania bara na Zanzibar ni dhahiri kabisa kuwanyima haki watu wa Tanzania Bara ambao idadi yao ni kubwa mno kuliko Tanzania Visiwani. Tanzania Bara ina watu takribani milioni 42 na Zanziba ina watu milioni 2. Hivyo Si sahihi kabisa uwiano kuwa sawa. Kufanya hivyo ni kuwanyima haki watu wa Tanzania Bara. Pili kama kila siku inasisitizwa kwamba baada ya muungano Zanzibar ilipoteza Utaifa wake Je ni kwa kigezo gani kuwa na idadi sawa. Pia Zanzibar wana Katiba yao ambayo haiigiliwi na watu wa Bara. Sasa ni kwanini Katika katiba hii wawe na uwiano wa Idadi ya wajumbe kwenye katiba inayowahusu Watanzania ikiwa wao idadi yao ni ndogo katika muungano?
You got a point, lakini hili swala lilipiganiwa na upinzania Bungeni......fanya reference kwenye hotuba Lisu.
Suala la Pili ambalo kwangu naona ni tatizo ni hili suala la uwiano wa watu kulingana na Imani zao nikimaanisha dini zao. Kumekuwa na malalamiko mengi hasa kutoka kwa waislam kwa miaka mingi kwamba hawatendewi haki na Serikali hasa kutokana na muundo wa katiba yetu tunayoitumia sasa hivi. Katika Tume hii iliyoundwa na Rais idadi ya Waislam ni kubwa mno hivyo kuibua hisia kuwa Rais ana agenda ya Siri ya kuwabeba Waislam. Hili lina maana kubwa kwani hata Muundo wa Serikali yetu unalalamikiwa kuwa umejaza Waislam wengi kuliko Watu wa Imani nyingine.
Tanzania si nchi ya kidini lakini tukumbuke kuwa Watanzania ni watu wenye imani tofauti za kidini.

Sasa mkuu, tukitaka uwiano wa kiimani, na mimi nikitaka uwiano wa kikabila, na mwingine akitaka uwiano wa jinsia, mwingine uwiano wa age groups..............itakuwaje?

Suala la tatu ni kuhusu ushiriki wa wajumbe kutoka taasisi mbalimbali kama ilivyoelezwa awali. Pamoja ya kwamba tume imetajwa lakini hakuna ufafanuzi unaoonyesha ushiriki wa wajumbe kutoka Taasisi zao kama tulivoelezwa awali. Ninaongea hivi nikiwa na maana ya kwamba tulielezwa kwamba kutakuwa na wawakilishi kutoka taasisi mablimbali kama Wawakilishi kutoka taasisi za Kisheria, Wanaharakati, Taasisi za kidini, Walemavu, Vyama vya Siasa nk. Lakini katika tume hii hakuna ufafanuzi unaodhihirisha kuwa fulani anawakilisha nini.

Ni matumaini yangu Maoni yangu hayo machache yatafanyiwa Kazi.

Asanteni.
Pole sana!!!.
:disapointed::disapointed:
 
Back
Top Bottom