Kero za kudumu

Kero za kudumu

Pantosha

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2022
Posts
869
Reaction score
1,282
Hizi hapa ni kero za kudumu hapa nchini. Hapa nitataja zile ambazo zinaendane na maisha bora kwa kila mtu.

Kero:
1. Ukosefu wa maji safi na salama: Kama nchi bado tumechemka sana.
2. Miundombinu ya barabara
3. Elimu: Hapa kuna shida kubwa.
4. Huduma hafifu za afya
5. Umeme:
6. Uhuru wa kujieleza, kutoa maoni: watu wanaogopa kuongea
7. Nyumba/makazi:

Hizo ni baadhi tu, ila zipo nyingi
 
Tunaongozwa kwa sasa na wapumbavu, mafisadi majambazi, wezi. Hawajali maslahi ya wananchi, maslahi ya Taifa.

Wapo pale kwa maslahi binafsi.
 
Hizi hapa ni kero za kudumu hapa nchini. Hapa nitataja zile ambazo zinaendane na maisha bora kwa kila mtu.

Kero:
1. Ukosefu wa maji safi na salama: Kama nchi bado tumechemka sana.
2. Miundombinu ya barabara
3. Elimu: Hapa kuna shida kubwa.
4. Huduma hafifu za afya
5. Umeme:
6. Uhuru wa kujieleza, kutoa maoni: watu wanaogopa kuongea
7. Nyumba/makazi:

Hizo ni baadhi tu, ila zipo nyingi
Ni social services zooote ni duni plus poor democracy, uchumi kiujumla, poor jeshi la Polish maana watu wake hawana akili,
Katiba mbaya na kandamizi, hakuna mhimili unaojitegemea mihimili yoote inaongozwa na chama tawala.
 
Hizi hapa ni kero za kudumu hapa nchini. Hapa nitataja zile ambazo zinaendane na maisha bora kwa kila mtu.

Kero:
1. Ukosefu wa maji safi na salama: Kama nchi bado tumechemka sana.
2. Miundombinu ya barabara
3. Elimu: Hapa kuna shida kubwa.
4. Huduma hafifu za afya
5. Umeme:
6. Uhuru wa kujieleza, kutoa maoni: watu wanaogopa kuongea
7. Nyumba/makazi:

Hizo ni baadhi tu, ila zipo nyingi
UTekaji
8. Magonjwa ya kuambukizana kama malaria, cholera nk hili ni takataka
9. Mishahara midogo kwa watumishi wa serikali na sekta bimafsi.
10. Ubadhirifu wa mali za uma unaofanywa na majizi ya ccm
11. Uchafuzi/Uchaguzi wa maigizo
12. Matumizi mabaya ya madaraka
13. Matumuzi mabaya ya rasilimali za nchi (kuuzwa kwa bandari madini nk)
14. Umaskini
15. Ukossefu wa uzalendo ukiongozwa na viongozi wa kubwa
MWisho niseme
No REFORMS No ELECTION
 
Back
Top Bottom