kero za daladala

kero za daladala

mopaozi

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2010
Posts
3,300
Reaction score
523
KWA WALE WENYE MAGARI NA AMBAO HAMPANDI DALADALA.……
HIVI NDO VIOJA TUNAVYOPATA KWENYE DALADALA WENZENU TUSIO NA MAGARI!

Mlokole: "Nyimbo gani mnapiga?!? Wekeni nyimbo za Yesu.."
Konda: "Vipi wewe, Yesu bado hajatoa album..." ********************************
Abiria: "Kuna Kiti au unasema panda tu!?"
Konda: "hao wengine wamekalia ndoo?! "
*******************************
Abiria: "Embu punguzeni sauti ya redio..."
Konda: "Sheria za nchi tu zinatushinda, tusikilize na zako!? hebu tupunguzie misheria"
*******************************
Mmama: "Bwana ondoa gari joto sana!!"
Konda: "Usituzingue wewe, shuka upande fridge...."
******************************
Konda: "Anti, kuna siti pale nyuma, ingia...."
Anti: "Siwezi kaa siti za nyuma..."
Konda: "Kwenda zako wewe, Kwani za nyuma ziko nje ya gari?!"
********************************
Sister duu: "Konda unanibana bwana..."
Konda: "mbona nguo ulizovaa huzisemi, kama ulitaka kujiachia ungekodi treni peke yako!!!"
*******************************
Sharobaro: "Kuna kiti?! Kama hamna sipandi..."
Konda: "Kama unaogopa kukosa kiti si ungebeba chako!!?"
 
UMEKOPY0 NA KUPEST, kimewahi kutoka humu humu JF.

ka copy na ku paste, so what????????
infact kanifanya nimecheka, awe ame copy awe haja pest, i don care, cha msingi people tumefurahi na kucheka, so ulishawahi ona potezea
 
Huyo mtu anaesema ame kopi na kupest ndo nini sasa? Watu tumefurah, we kama hujafurah nenda kafe tu.
 
KWA WALE WENYE MAGARI NA AMBAO HAMPANDI DALADALA.……
HIVI NDO VIOJA TUNAVYOPATA KWENYE DALADALA WENZENU TUSIO NA MAGARI!

Mlokole: "Nyimbo gani mnapiga?!? Wekeni nyimbo za Yesu.."
Konda: "Vipi wewe, Yesu bado hajatoa album..." ********************************
Abiria: "Kuna Kiti au unasema panda tu!?"
Konda: "hao wengine wamekalia ndoo?! "
*******************************
Abiria: "Embu punguzeni sauti ya redio..."
Konda: "Sheria za nchi tu zinatushinda, tusikilize na zako!? hebu tupunguzie misheria"
*******************************
Mmama: "Bwana ondoa gari joto sana!!"
Konda: "Usituzingue wewe, shuka upande fridge...."
******************************
Konda: "Anti, kuna siti pale nyuma, ingia...."
Anti: "Siwezi kaa siti za nyuma..."
Konda: "Kwenda zako wewe, Kwani za nyuma ziko nje ya gari?!"
********************************
Sister duu: "Konda unanibana bwana..."
Konda: "mbona nguo ulizovaa huzisemi, kama ulitaka kujiachia ungekodi treni peke yako!!!"
*******************************
Sharobaro: "Kuna kiti?! Kama hamna sipandi..."
Konda: "Kama unaogopa kukosa kiti si ungebeba chako!!?"

Mkuu zote za ukweli na zimenichekesha sana
 
Back
Top Bottom