B'REAL
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 4,573
- 3,255
samahani kwa kuwachosha wakuu,hi kitu kwangu ni tatizo sana na ina nikera.na amini watanzania tumeumbwa na maadili ukutanapo na mtu mkubwa wako au mdogo wako kumsalimia ni jambo la kawaida,inakuaje unakutana na mtu unamjua kabisa kakuzidi umri hata unaweza kuwa mtoto wake una mpa heshima yake...SHIKAMO MZEE AU SHIKAMO MAMA nakuangalia afu anakwambia mambo?dah shida kweli...pia unapita mahali kwa roho safi unasalimia.watu hawaitiki afu unasikia huku nyuma jamaa mbona anapenda kusalimia sana au anajipendekeza...ukiwachunia utasikia jamaa anajisikia sana,wanadamu mfanyiwe lipi jemaa...kuazia leo nimeamua kutosalimia cse hainiongezei kitu wala hainipunguzi kitu...niayo tu