Kero yangu juu ya Salamu...

Kero yangu juu ya Salamu...

Kwani salamu lazima?
ndo nyie tukikutana nikikwambia habari...unasema dogo anajifanya kakuaa,dawa ni ukauzu ataukikutana na kibibi unapita kama huakiona
 
tatizo hiyo kaya unopuliza ndo inakufanya uwe unasalimia salimia sana, mi najua mkuu
:majani7:mkuu kaya yangu nikipuliza napenda kukaa mwenyewe..nikikaa na watu naona wananizogoa,maana nakuwa na michongo mingine kichwani..afu nikika na raiya wakianza kusimuliana habari za molov ndo naona wananirushia mbaya,napenda kukaa mto temi niangalie maji tu
 
ndo nyie tukikutana nikikwambia habari...unasema dogo anajifanya kakuaa,dawa ni ukauzu ataukikutana na kibibi unapita kama huakiona

Hujajibu swali.

Unalalamika kama salamu lazima.

Kwani salamu lazima?
 
samahani kwa kuwachosha
wakuu,hi kitu kwangu ni tatizo sana na ina nikera.na amini watanzania
tumeumbwa na maadili ukutanapo na mtu mkubwa wako au mdogo wako
kumsalimia ni jambo la kawaida,inakuaje unakutana na mtu unamjua kabisa
kakuzidi umri hata unaweza kuwa mtoto wake una mpa heshima
yake...SHIKAMO MZEE AU SHIKAMO MAMA nakuangalia afu anakwambia mambo?dah
shida kweli...pia unapita mahali kwa roho safi unasalimia.watu
hawaitiki afu unasikia huku nyuma jamaa mbona anapenda kusalimia sana au
anajipendekeza...ukiwachunia utasikia jamaa anajisikia sana,wanadamu
mfanyiwe lipi jemaa...kuazia leo nimeamua kutosalimia cse hainiongezei
kitu wala hainipunguzi kitu...niayo tu

cha maana ni kukaa kimya na kuwa busy na mambo yako,wakikusema unaachana nao.
 
Na wao wanakuona kakomaa maana watoto wa siku hizi wa mwaka tisini hana tofauti na wa mwaka sabini. Tatizo linaweza kuwa lako na mnakomaa na kukesha kwenye mablog na manyumba ya starehe hata hamzingatii masaa ya kupumzika.
 
Back
Top Bottom