wakimataifa.
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 1,625
- 558
kila kukicha ni kero ya vyeti feki fulani ana vyeti vyeki hawataki kusema kama wana vyeti feki.
sasa kwa wanaosema wanavyeti feki sio mtoe ushahidi kuwa fulani fulani vyeti vyake feki hivi wekeni hadharani sio kutuhumu kila siku
sasa kwa wanaosema wanavyeti feki sio mtoe ushahidi kuwa fulani fulani vyeti vyake feki hivi wekeni hadharani sio kutuhumu kila siku