Wadau wazima? Natumai kuwa wote wazima wa afya maana Mungu mkuu wa yote amewanusuru na majanga ya siku nzima,me nilikuwa na kero kidogo maeneo ya Mbagala stand ya saku ya zamani kwa nyuma Kuna stand ya bajaji yaani mvua ikinyesha kuna tope linalofanana na kinyesi kabisa tena tope lenyewe linanuka balaa inaoneka ni njia muhimu xana maana magari mengi ya shamba yanapita pale nilikuwa naomba kama Kuna viongozi wanaona au wanaguswa na kero ilo embu naombeni pafanyiwe kazi ata kwa kuweka kifusi tu maana si rafiki kwa afya kwa watu wa pale
ASANTE
ASANTE