Kero kwenye mifumo ya malipo katika huduma za Afya

Duduvwili

JF-Expert Member
Jan 31, 2015
3,885
3,808
Wakuu Shalom,

Kichwa cha hoja hii kinajieleza nipo katika moja ya Kituo Cha afya nimemleta mtoto akiwa amebanwa na kifua lakini cha ajabu mpaka dakika hii sijpatiwa huduma kwa sababu mfumo haufanyi Kazi naomba ufafanuzi kwa mamlaka husika je huu ni ungwana?

Kwanini kama mambo haya hatuyawezi tukabaki na madaftari yetu? Hii sio sawa kabisa mtu unawahi Kituo cha afya unakumbana na longolongo kama hizi sasa jamani mnataka watu wa kipato cha chini tuwe tunakatishwa uhai kwa sababu za kizembe namna hii? Kosa letu ni Nini kuzaliwa masikini au shida ni nini majibu nnayopewa hapa ni kwamba siwezi kuhudumiwa kisa Hamna mfumo lakini wataalamu wapo!

Naomba Waziri mwenye dhamana kama upo hapa mulika Kituo cha Afya Ipogolo Manispaa ya Iringa hizi ni dalili za wazi za rushwa tukimbilie wapi kama Kodi zetu wenyewe zinakua ndio njia panda ya uelekeo wa mauti?
 
Wakuu Shalom,

Kichwa cha hoja hii kinajieleza nipo katika moja ya Kituo Cha afya nimemleta mtoto akiwa amebanwa na kifua lakini cha ajabu mpaka dakika hii sijpatiwa huduma kwa sababu mfumo haufanyi Kazi naomba ufafanuzi kwa mamlaka husika je huu ni ungwana?

kwanini kama mambo haya hatuyawezi tukabaki na madaftari yetu? hii sio sawa kabisa mtu unawahi Kituo cha afya unakumbana na longolongo kama hizi sasa jamani mnataka watu wa kipato cha chini tuwe tunakatishwa uhai kwa sababu za kizembe namna hii? Kosa letu ni Nini kuzaliwa masikini au shida ni nini majibu nnayopewa hapa ni kwamba siwezi kuhudumiwa kisa Hamna mfumo lakini wataalamu wapo!

Naomba Waziri mwenye dhamana kama upo hapa mulika Kituo cha Afya Ipogolo Manispaa ya Iringa hizi ni dalili za wazi za rushwa tukimbilie wapi kama Kodi zetu wenyewe zinakua ndio njia panda ya uelekeo wa mauti?
Mara nyingi katika Taasisi hizi za serikali unakuta wana mfumo mzuri tu lakini hawana wataalamu wa kuendesha au kusimamia huo mfumo

Si bure ni Nesi tu aliyemaliza form Four au mfamasia ndio yupo hapo kwny Computer anasimamia huo mfumo

Ila kwakuwa ni mtoto anapaswa kuhudumiwa kwanza hata kama mfumo haujakaa sawa awe na BIMA au asiwe nayo
 
Mara nyingi katika Taasisi hizi za serikali unakuta wana mfumo mzuri tu lakini hawana wataalamu wa kuendesha au kusimamia huo mfumo

Si bure ni Nesi tu aliyemaliza form Four au mfamasia ndio yupo hapo kwny Computer anasimamia huo mfumo

Ila kwakuwa ni mtoto anapaswa kuhudumiwa kwanza hata kama mfumo haujakaa sawa awe na BIMA au asiwe nayo
Kabisa mkuu mtoto ahudumiwe kwanza mambo ya mfumo ni baadae mbona wanazuia maiti mpaka walipwe pesa?kiukweli hili swala linanifikirisha sana juu ya kusudi la muumba kuniumba kwenye Nchi ya kinyama kama hii Watanzania tunahitaji ukombozi hii sio sawa kabisa kwenye Dunia hii ya kiteknolojia
 
Wakuu Shalom,

Kichwa cha hoja hii kinajieleza nipo katika moja ya Kituo Cha afya nimemleta mtoto akiwa amebanwa na kifua lakini cha ajabu mpaka dakika hii sijpatiwa huduma kwa sababu mfumo haufanyi Kazi naomba ufafanuzi kwa mamlaka husika je huu ni ungwana?

Kwanini kama mambo haya hatuyawezi tukabaki na madaftari yetu? Hii sio sawa kabisa mtu unawahi Kituo cha afya unakumbana na longolongo kama hizi sasa jamani mnataka watu wa kipato cha chini tuwe tunakatishwa uhai kwa sababu za kizembe namna hii? Kosa letu ni Nini kuzaliwa masikini au shida ni nini majibu nnayopewa hapa ni kwamba siwezi kuhudumiwa kisa Hamna mfumo lakini wataalamu wapo!

Naomba Waziri mwenye dhamana kama upo hapa mulika Kituo cha Afya Ipogolo Manispaa ya Iringa hizi ni dalili za wazi za rushwa tukimbilie wapi kama Kodi zetu wenyewe zinakua ndio njia panda ya uelekeo wa mauti?

Angalia nyuma ya kadi, kuna namba za simu za mtoa huduma ya bima ya afya yako wasiliana nae.

Kama ukiwa chanya, huduma hutakiwa kuendelea kulingana na hali ya mgonjwa. Kikubwa ni commitment yako.

Mfano:
1: kama ni shida ya mfumo usiporudi/nani abebe gharama.

2: mfumo ukirudi na kadi inaonyesha haiko active/nani atabeba gharama.

NB: Watoa huduma za bima wanasisitiza ufanye verification kabla ya huduma. Hawako tayari kubeba mzigo wa nani hajachangia mfuko au ilikuwaje. Kibinadamu hali ya mgonjwa hushawishi mtoa huduma angalau kutoa huduma stahiki ila kwa kuzingatia pia 1 na 2 hapo juu.

Wakati mwingine watu hujitoa bila kujali hayo hapo juu kulingama na hali na hata kulipa wenyewe gharama husika ni jinsi tu ya ushirikiano.
 
Back
Top Bottom