Roman Empire
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 620
- 1,422
Kuanzia alasiri nimekuwa najaribu kutuma pesa kupitia huduma YA tigo pesa inagoma, hakuna maelezo YA maana zaidi YA kusema niwasiliane na huduma kwa wateja ambayo nayenyewe haipatikani.... Tigo badilikeno kama mmeshindwa fungeni ofisi zenu