MR.NOMA
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 338
- 502
1.Ukiingia kituoni unaweza kusubiri gari hata zaidi ya nusu saa usifanikiwe kusafiri
2.Haja ndogo/ kubwa ikikubana ukiwa ndani ya kituo inakupasa kutoka nje utafte sehem ujisaidie urudi ukate tena tiketi nyingine uingie
3.Kwa sasa Magari hayo yanajaa sana,kiasi kwamba imekuwa karaha.watu kulundikwa kama mizigo.
4.Vibaka wanaendelea kutuliza simu/ waleti kila uchao
5.Joto ni Kali mkiwa mmejazana na wahusika wa magari hayo hawafungui hata vile vidirisha vya juu.
6.Kuna madereva hazimo sawa kichwani wamekuwa wakifunga milango ghafla na kuwabana abiria Mara kadhaa.
7.Abiria wa kutoka Kinondoni to kimara kubwagwa pale ubungo terminal,na kuhangaika hata saa nzima kutafta usafiri wa kwenda Kimara.
8.Wanawake wengine kujitegesha ili wabambiwe makusudi,alaf azue tafrani kuwa unambambia.
9.Express ya kutoka Kimara to Kivukoni/ Gerezan kutosimama Magomeni wakati wanajua kuna junction.
10.Watu kuingia kwa fujo,huku wakisukumana.Ikitokea umedondoka huponi.
2.Haja ndogo/ kubwa ikikubana ukiwa ndani ya kituo inakupasa kutoka nje utafte sehem ujisaidie urudi ukate tena tiketi nyingine uingie
3.Kwa sasa Magari hayo yanajaa sana,kiasi kwamba imekuwa karaha.watu kulundikwa kama mizigo.
4.Vibaka wanaendelea kutuliza simu/ waleti kila uchao
5.Joto ni Kali mkiwa mmejazana na wahusika wa magari hayo hawafungui hata vile vidirisha vya juu.
6.Kuna madereva hazimo sawa kichwani wamekuwa wakifunga milango ghafla na kuwabana abiria Mara kadhaa.
7.Abiria wa kutoka Kinondoni to kimara kubwagwa pale ubungo terminal,na kuhangaika hata saa nzima kutafta usafiri wa kwenda Kimara.
8.Wanawake wengine kujitegesha ili wabambiwe makusudi,alaf azue tafrani kuwa unambambia.
9.Express ya kutoka Kimara to Kivukoni/ Gerezan kutosimama Magomeni wakati wanajua kuna junction.
10.Watu kuingia kwa fujo,huku wakisukumana.Ikitokea umedondoka huponi.