Kero kuhusu UDOM Social Science

Kero kuhusu UDOM Social Science

Udom social science utawala ni mmbovu that's why hata waalim wengi "vichwa" hawakai mda mrefu pale, utawala hawajal maisha ya wanafunzi wala wakufunzi. Wanamambo ya kisecondary sanaaa, udini na ulimbuken wa madaraka unawaharibu. Halaf co kwamba hivyo vyeo ni vikubwa kivile, naamin wengine wakiwa nje hawawez sema cheo chao proudly mbele za watu, bt wakiwa pale mashauz mianane. Kunamajipu mengi sana pale. Bora miaka ilipita tukasepa staki kupakumbuka
 
Lavan Island Perry Natamani watu wangeuona uhalisia hali ilivyo wangenielewa. Ndo maana watanzania hatua ya kukua kimaendeleo si nzuri... na moja ya sababu ndo kama hizi. Mtu akipata wadhifa fulani badala ya kuchapa kazi yeye anatumia nafasi hiyo kama sehemu ya kujigamba.
LakinI pia hii ndo tofauti kati ya taasisi za umma na zile za binafsi.
Asilimia kubwa ya taasisi binafsi zinafanya vizuri kwa sababu mhudumu anajua fika kua watu anaowahudumia wakim-comment vibaya atakosa sifa yakua katika nafasi aliyo nayo.
Tatizo la hawa jamaa wa social ni tatizo sugu.
uliyoyasema ni ya kweli mkuu mm nikiwa kama mwana jumuiya ya social UDOM
 
Back
Top Bottom