Kero Kivuko upande wa Kigamboni

Kero Kivuko upande wa Kigamboni

OldNol

Member
Joined
Nov 16, 2013
Posts
14
Reaction score
2
Kumekuwa na tabia ya hawa wanaotoa tiketi hasa wakati wa asubuhi kuzuia watu wasivuke kisa hawana chenji tunakuomba Dr Magufuli ufuatilie hili suala hapa kigamboni. Fanya ziara ya kushitukiza muda wa asubuhi ujionee pia tunaomba masirisha ya tiketi yaongezwe kama upande wa magogoni ili kuondoa usumbufu.
 
huyo magufuli unaemwita si ndio yule aliewahi kusema kama utaki huduma zao piga mbizi mpaka upande wa pili?
 
Cha msingi ni kuboresha huduma maana kuna wagonjwa nk pia customer care ya hawa wahudum wa tkt ni mbovu kabisa tushirikianeni kurelebisha haya Magufuli tunamkumbusha tabia za hawa watu wake wanakera sana.
 
Magufuli nae wamemtengenezea kitabu chake cha Ticket kila siku ana hesabu yake
 
Inakera abiria we asubuhi unatoa buku 10 wakate ticket ya sh 200? Kukutafutia wewe chenji ni kuleta foleni isiyo na msingi,tangia usiku unajua kwamba kesho navuka kwanin usitayarishe nauli ya sh 200?
 
piga mbizi mkuu, huyo unaemwita amekusauri hivyo
 
Siamini, wanakaigamboni leo wanamwita Magufuli asolve ishu ya kivuko!!
 
Nimewapata mawazo yenu King Kong na Bull lakini eleweni kuwa si wote wanatoa elf 10 hata pale unapotoa noti ya mia 5 kukata tiket 2 unaambiwa hawana chenji sasa hapa si ni kulazimishwa uache hela yako. Hata kama unatoa elf 10 ni wajibu wao kukupatia chenji maana umetoa hela kamili isiyo pungufu ya nauli ya kivuko siku ukirudishwa utaelewa nini maana ya hii kero.
 
Acheni kutumia hizo lugha zao wakati mwingine tatizo kama hili ni sawa na matatizo mengine ya elimu mbovu afya mbovu rushwa hata kama Magufuli alitulejeli bado ni mwenye mamlaka na hili suala wakati mchango wako wa mawazo unakuwa ni bora zaidi unapotipia constructive idea haitatusaidia tukieushiana vijembe tuelimishane tu
 
then niabu sana kivuko
cha MV magogoni kutembea huku kikiwa kina tumia injini moja na ukiangalia hela inayoingia kwa siku ni mamilioni ya hela hivi management za taasisi za serikali zitabadilika lini katika kuboresha huduma na kuwa endelevu
 
Back
Top Bottom