FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,417
Uhondo wa ngoma ingia ucheze ndio utajua utamu na uzuri wake.mmh tabu ennh????
yani nikisikia mambo km aya yani napata uoga kabisa wa kitu ndoa......
life z tooooooo shot we spsed 2liv in happpynes ol da tyme sa km kuna kiumbe kinaamua kabisa kwenda kudownload kero na kukuletea....dahhh inaumiza!!
mmh ebu tuambien jamani ivi wanaume wote ni makorokocho??????manake kesi nyng nazisikia kwao thou kuna wanajike wengine ni makorokocho usipime bt in high parcentage z male creatures who blamed maaara nyng
pole swet hat..
omba mungu kikombae iki kikuepuke....na shetani aliyemfunga amwachie
polemumy:embarrassed1:
Akiomba unyumba inathibitisha kwamba kweli katoka bar, hivyo shukuru!
Uhondo wa ngoma ingia ucheze ndio utajua utamu na uzuri wake.
yalishanikuta sina hamu na kiumbe kinaitwa mwanaume ..no not at all..................:closed_2:
ni kero sana,halafu atalalamika kuwa humjali yet anaspend 80% ya siku nzima huko nje na the so called friends na akifika home ananuka pombe ka aliingizwa kwa drum za TBL....AAGHRRR[/QUOTE]
ha ha Daughter una vituko wewe
mmh tabu ennh????
yani nikisikia mambo km aya yani napata uoga kabisa wa kitu ndoa......
life z tooooooo shot we spsed 2liv in happpynes ol da tyme sa km kuna kiumbe kinaamua kabisa kwenda kudownload kero na kukuletea....dahhh inaumiza!!
mmh ebu tuambien jamani ivi wanaume wote ni makorokocho??????manake kesi nyng nazisikia kwao thou kuna wanajike wengine ni makorokocho usipime bt in high parcentage z male creatures who blamed maaara nyng
pole swet hat..
omba mungu kikombae iki kikuepuke....na shetani aliyemfunga amwachie
polemumy:embarrassed1:
Uhondo wa ngoma ingia ucheze ndio utajua utamu na uzuri wake.
yalishanikuta sina hamu na kiumbe kinaitwa mwanaume ..no not at all..................:closed_2:
Pole sn mpnz,yan mbona me hata naogopa,yan hapa nlipo tu kama boyfrend na girlfrend ni kazi,sasa nikiingia huko itakuwaje?
yan hawa wanaume hawakumbuki hata kama wametoka kwa mtu anitwa mwanamke?,kwanini wasituheshimu jamani?
Mimi nam-appreciate sn mwanaume anayemheshimu mke wake/mpenzi wake hata kama anatoka nje.(fide,crispin,makoyo mpo??,kwa niaba ya wenzenu)
ha ha Daughter una vituko wewe
causin inawezekana wa kwako akawa tofauti ...we jitose tu kwenye chama hiki muda ukifika ..lakini hawa jamaa sijui wakoje ..anaacha bear kwenye fridge nyumbani huyo chawote bar
Ni kero, inabidi kubadilika. Ila ushauri kwa Mwanamke... Hata akirudi asubuhi, mpokee vizuri, muandalie maji ya kuoga, muulize atakula nini.. akifanya hivyo kwa miezi kadhaa! Ipo siku ATABADILIKA huwezi amini.... Ila kama akirudi amelewa halafu wewe unamKOROMEA.. Walah hawezi acha.. Akina MAMA mna nafasi kubwa sana ya kujenga au kubomoanyumba zenu.
Amen ..
Rose1980 nadhani hao marafiki alionao ni wabaya kwa nini hawamkumbushi kama anafamilia ?? saa saba/nane /tisa ..hiki sasa kichefuchefu
Wanasema bear za home hazipandi....