mr brocken
Senior Member
- Apr 2, 2015
- 166
- 48
Nimeomba kufungiwa maji, nimeenda ofisini na kupigiwa hesabu ya vitu vyote na nikalipa, then nikaambiwa ntasubiri miezi kadhaa.
Siku imefika ya kufungiwa maji mafundi wanaanza longo longo, eti tumekosea kupiga hesabu za urefu wa bomba na pia mita haikupigiwa hesabu kwa hiyo unatakiwa ununue.
Hivi bila rushwa nchi hii hamna uwajibikaji?
Siku imefika ya kufungiwa maji mafundi wanaanza longo longo, eti tumekosea kupiga hesabu za urefu wa bomba na pia mita haikupigiwa hesabu kwa hiyo unatakiwa ununue.
Hivi bila rushwa nchi hii hamna uwajibikaji?