Wanafikiri ukubwa wa pua ndio wingi wa mafua!Jw ilipoteza askari 14 kwenye ambush ya masaa 13 ambayo kisheria jw hawakutakiwa kujibu mashambulizi zaidi ya kujirinda tu kinachoshtua zaidi washambuliaji inasemekana ni special force .......
Lkn KDF walishambuliwa kwa nusu saa tu battalion nzima wakapona watu 40 na magaidi wateka vifaru na mizinga