Richard irakunda
JF-Expert Member
- Oct 23, 2018
- 3,660
- 4,383
El adde kdf ilikuwa na battalion nzima lkn askari wa kdf waliopona ni 40 tuKwani unaelewa mtu akiwa Off Duty? Kweli KDF kazi yake sio kulinda Wastegate, waliitwa kusaidia kuiba tu au sio? Btw watakufaje na magaidi wakati walikuwa wanajificha kwa woga?
Kituo cha polisi sio kambi ya jeshi linalohusika kulinda amani ya taifa.
Eti ile Battle of El Adde mlikuwa mpo on guard? au mlikuwa mmelaliana kwenye camps?