Kenya's military spending in 2018 IS more than Tanzania's and Uganda's combined

chilubi el ade ilikuwa mabomu, makombora na risasi. Hapo kongo ilikuwa ni mapanga tu tena watoto wadogo.

Kama dhaifu jwtz ni wanaume waingie somalia wasaidiane na wenzao kina burundi, uganda, rwanda, kenya na ethiopia na mkumbuke pale sio comoro kwa chipsi mayai au kuvuna korosho.
Kwa hiyo unataka kusema kwenye el ade battle hamkuwa na silaha. East Africa nzima jeshi lenu no dhaifu hata muwe na bajeti ya matrilion vita ni ujuzuzi jirani
 
Richard irakunda masaa 13 watoto wa mapanga wanawashambulia na kuwamaliza?
Nawaambia kama nyie ni wanaume kama the rest of EAC muwapeleke dhaifu jwtz pale jubaland mpambane kama wenzenu, ama ni vile hamna hela lazima mshikiliwe na UN ama ni uoga tu? ni moja kati ya hizo.
 
joto la jiwe dhaifu jwtz ina jet ngapi na gani na za mwaka gani? :D:D
Fursakibao kama vita ni ujuzi na mapanga yanawashinda, je mabomu na wajitoa mhanga mtaweza kweli? FFU yenu inawapeleka wanaume wala chipsi mayai hadi mvunguni mwa vitanda, mnabanguliwa korosho na rag tag army ama hiyo ndio expirience?
 
Richard irakunda masaa 13 watoto wa mapanga wanawashambulia na kuwamaliza?
Nawaambia kama nyie ni wanaume kama the rest of EAC muwapeleke dhaifu jwtz pale jubaland mpambane kama wenzenu, ama ni vile hamna hela lazima mshikiliwe na UN ama ni uoga tu? ni moja kati ya hizo.
Hatuingilii ugomvi wa majirani. Acha mtandikwe tu. Ukiulizwa mlichifata somalia utajibu?
 
Mko wapi kwani mnatoroka ama mumekwenda kuita reinforcment ki-panga boyz?
 
joto la jiwe dhaifu jwtz ina jet ngapi na gani na za mwaka gani? :D:D
Fursakibao kama vita ni ujuzi na mapanga yanawashinda, je mabomu na wajitoa mhanga mtaweza kweli? FFU yenu inawapeleka wanaume wala chipsi mayai hadi mvunguni mwa vitanda, mnabanguliwa korosho na rag tag army ama hiyo ndio expirience?
Umeulizwa swali ukienda kuoga unaoga na bunduki?
 
Fursakibao ati nini na mnafanya nini kongo? Haya basi kabangueni korosho

Ati kuoga vitani kwani ni beauty contest? Wewe unafikiria maharamia na magaidi wana hayo mafikra ya kuoga? Bure kabisa kumbe jwtz ni mabinti haikosi hiyo siku ya mapanga hayo masaa 13 walikuwa wanaf***a na watoto mapanga :D:D
 
Jw ilishambuliwa kwa masaa 13 lkn hawakupoteza vifaru wala mizinga na Vifo vilikuwa ni 14 tu pia jw wakiwa drc hawaruhusiwi kujibu mashambulizi

Kdf el adde Vifo vilikuwa vingap?
Na ilipoteza vifaru vingapi na deraya ?
Richard irakunda masaa 13 watoto wa mapanga wanawashambulia na kuwamaliza?
Nawaambia kama nyie ni wanaume kama the rest of EAC muwapeleke dhaifu jwtz pale jubaland mpambane kama wenzenu, ama ni vile hamna hela lazima mshikiliwe na UN ama ni uoga tu? ni moja kati ya hizo.
 
Jw ilishambuliwa kwa masaa 13 lkn hawakupoteza vifaru wala mizinga na Vifo vilikuwa ni 14 tu pia jw wakiwa drc hawaruhusiwi kujibu mashambulizi

Kdf el adde Vifo vilikuwa vingap?
Na ilipoteza vifaru vingapi na deraya ?
Ingieni Somalia ndio tuwaheshimu,
Mambo Na congo sijui Zaire ni upuzi tu.
 
Hivi njaa iliyokuwa inawanyoosha hawa jamaa imeshaisha??

Baba mwenye nyumba unanunua silaha wakati watoto wanalala na njaa..KENYA MJITATHIMI.
 
Hahahahaha, KDF mpo na very old F-5 zilizotengenezwa 1950s, zilikua 7 moja ilidunguliwa na Alshabab zimebaki 6 na zote zipo katika hali mbaya sana hazina uwezo wa kuruka tena.
Pumba za aina hii kawahadithie mapimbi wenzako mkinywa kahawa vijiweni. Soma hapa inventory ya 2017 kuhusu ndege walizonazo kitengo cha angani cha KDF, yaani KAF(Kenya Airforce). Alafu vitu vingine vipya vimeongezwa 2018/19. >>>https://intelligencebriefs.com/tag/kenya-air-force-aircraft-inventory/
 
much know ndio hao je tpdf ni wale wa kubangua korosho? :D
Alah.......
9267780_naijalaugh_jpegf4b381f3416e1deb63c95d734c4c6973.jpeg
 


[https://www]

Advertisement

Kenya’s military spending hits new high of Sh109bn

The huge spending is linked to the quest to end the Shabaab menace in Somalia.



[https://www]A Kenya Defence Forces' armoured fighting vehicle in Kulbiyow camp, Somalia, on February 6, 2017. Kenya’s arms stockpile, according to Global Firepower, includes 500 armoured fighting vehicles. PHOTO | FILE | NATION MEDIA GROUP

[https://www]

By ALLAN OLINGO

More by this Author

IN SUMMARY

Within the continent, Algeria leads with a defence budget of Sh980, followed by Morocco at Sh369 billion, and South Africa at Sh339 billion.

Global Firepower, an agency that assesses military the strength of nations, last year ranked Kenya’s military the 14th most powerful in Africa and the best in the region.

Advertisement

Kenya’s military spending last year rose to a new high of Sh109.7 billion to exceed the amount spent by neighbours Tanzania and Uganda combined for the first time, according to a new global report.

Nairobi’s spending on its military last year rose by Sh8.2 billion - from Sh101.5 billion in 2017 - pushing its defence bill to the sixth largest in Africa

Data released by the Stockholm International Peace Research Institute (Sipri), an independent global security think tank, shows that the country’s budget dwarfs its peers in the region: Tanzania’s spending last year rose to Sh67.5 billion while Uganda came in third at Sh40.8 billion.

“Kenya’s military spending for last year really didn’t increase much as compared to its neighbours. The increase in Uganda could be related to equipment purchases, this is stated in the budget but exactly what it is spent on is unknown,” Dr Nan Tian, a researcher on the Arms and Military Expenditure Programme at Sippri, told the Nation.

AMISOM

The report shows that Kenya has in the past five years continued to top its regional neighbours both in budget size and annual spending growth, causing fear that it could spark an arms race in a volatile region.

Kenya and Uganda’s militaries have been upgrading their firepower, either through purchases or donations, as they lead the African Union Mission in Somalia (Amisom) battle against Al-Shabaab militants in Somalia.

“Equipment was donated, as aid or peace keeping operations, to Uganda and Kenya last year, with Kampala bagging five Bell Huey helicopters worth Sh40 billion. It also received the Bastion APC from France that was leased and financed by the US for AMISOM operations.

“In Kenya, there were also the Bell helicopters and AS-350 Fennec helicopters given as aid. These are likely to be used in the fight against Al-Shabaab,” Dr Tian said.

AIRCRAFT AID

Nairobi made six aircraft orders last year, expected to be delivered this year, coming barely months after receiving eight second-hand Airbus AS-550C3 light helicopters in aid.

Of the six planes, three are C-27J Spartan transport aircraft ordered from Italian firm Leonardo. The aircraft were ordered in late June 2018 at a cost of Sh20 billion, having placed an order late 2017.

They are expected to replace the ageing fleet of De Havilland Canada DHC-5 Buffalo. The other three are M28 Skytruck light transport and passenger planes from Poland. They were ordered in 2016 and are expected in Nairobi later this year.

Last year also saw the Kenya Defence Forces (KDF) receive 12 Bastion armoured personnel carriers (APCs) donated by the United States.

IEDs THREAT

For the 12 APCs, the government acquired 12 MD5 diesel engines from France, which were delivered in November last year to help secure its borders and promote Amisom troops in Somalia.

“We hope that these APCs will support Kenya’s efforts in the fight against extremists, including the use of improvised explosive devices (IEDs) along the border region.

“Defeating the threat of IEDs is a critical component of denying violent extremists freedom of movement,” Colonel Kevin Balisky, the US Defence Attaché, said.

South Sudan had the lowest military spending in the region at Sh5.9 billion, from a high of Sh100 billion in 2016, mainly due to the severe economic problems the country faces.

“Hyperinflation has caused its spending to drop substantially. But there is evidence that the military and security forces have been funded outside the state budget by an oil company. However, the amount is unknown,” Dr Tian said.

KDF'S MIGHT

Kenya’s Sh109 billion expenditure accounted for 40 per cent of the region's total military spending of Sh298 billion last year.

Within the continent, Algeria leads with a defence budget of Sh980, followed by Morocco at Sh369 billion, and South Africa at Sh339 billion.

Nigeria is fourth-placed at Sh201.4 billion, while Angola is fifth at Sh198 billion. Globally, the US retained the top position as the highest military spender at Sh64.8 trillion, with China coming a distant second at Sh24.99 trillion, followed by Russia (Sh61.38 trillion).

Global Firepower, an agency that assesses military the strength of nations, last year ranked Kenya’s military the 14th most powerful in Africa and the best in the region.

The country’s arms stockpile, according to Global Firepower, comprises 76 battle tanks, 500 armoured fighting vehicles, 30 self-propelled guns, 25 towed artilleries, three attack helicopters, 150 aircraft, including 34 fighter and attack jets, 19 transporter aircraft, and 80 helicopters. It also has 19 naval assets, including seven patrol vessels.
Silaha bila moyo siyo Kitu. Bwana 1978 Uganda wakuwa na JESHI nzuri Sana EAT. Wakavamia TANZANIA Wakidhani wangewashinda kurudi na Zana zao. Wakasahau Moyo na Uzalendo. Na Kenya hivyo hivyo. Bila ya kuacha UKABILA Akuna Kitu
 
Onyesha idadi ya fixed wings attack planes za KDF zaidi ya F-5 tena za kizamani sana. Lete link inayoonyesha fighter jets za KDF. Hahahahaha, hahahahaha, hahahahaha. Hata hujui uwezo wa jeshi lenu.
Nimekuekea link hapo, ambayo inaonesha inventory kamili ya Kenya Air Force. Kama huelewi maana ya inventory pambana na hali yako, sina huo muda wa umbea umbea.
 
Nimekuekea link hapo, ambayo inaonesha inventory kamili ya Kenya Air Force. Kama huelewi maana ya inventory pambana na hali yako, sina huo muda wa umbea umbea.
Hahahahaha, niambie Kenya ina fighter jets ngapi?
1) Uganda ...SU 30 wanazo SIFA(Third generation)
2)Tanzania ...J-7 zipo 14(Third generation)
3)Kenya ..... F-5 zipo 6(Second generation)

Hahahahaha, hahahahaha, hahahahaha.
 
Back
Top Bottom