willyTrinidad
JF-Expert Member
- Jul 14, 2018
- 441
- 455
- Thread starter
- #41
Point ni kwamba wakenya walio ng’ambo wanalete mali nyingi kuliko sector nzima ya Utalii Tanzania 😂😂😂And your point is???
Point ni kwamba wakenya walio ng’ambo wanalete mali nyingi kuliko sector nzima ya Utalii Tanzania 😂😂😂And your point is???
Ama kweli Kenya's greatest resource is its Human Resource unlike other countries mostly dependent on minerals...Kwa kifupi, hizo ni kiasi sawa na pesa ambazo Barrick waliahidi Tz baada ya kuwatafuna madini kwa miaka yote.
Hongera diaspora wetu, sio wabeba mabox na wazamiaji.
Great point!. This analysis deserves PHD!!Ama kweli Kenya's greatest resource is its Human Resource unlike other countries mostly dependent on minerals...
Yani ukiondoa wakenya from the table Uchumi wa nchi unapotea, lakini kuna nchi zengine ukiundoa wananchi kwenye picha bado Uchumi wa nchi unabaki vile vile manake madini na malighafi ndo yanachangia pakubwa...
Point ni kwamba wakenya walio ng’ambo wanalete mali nyingi kuliko sector nzima ya Utalii Tanzania
Ama kweli Kenya's greatest resource is its Human Resource unlike other countries mostly dependent on minerals...
Yani ukiondoa wakenya from the table Uchumi wa nchi unapotea, lakini kuna nchi zengine ukiundoa wananchi kwenye picha bado Uchumi wa nchi unabaki vile vile manake madini na malighafi ndo yanachangia pakubwa...
Data ipo, sema ni wewe mzembe ama labda uko na aibu kuleta data yenu hapa 😂😂😂Hujajua kwamba wanaoleta pesa tz za utalii sio watz.
Na unacheka.yaani $240 bln kutoka kwa watu wa mataifa,sijajua diaspora wanaongiza pesa ngapi,hivi vitu hatufuatiliagi.
Panua uwezo wako wa kuelewa halafu usome andiko langu mara kumi, wenzako wameelewa ninachosema.
Data ipo, sema ni wewe mzembe ama labda uko na aibu kuleta data yenu hapa
Yearly remittance ya Tanzania diaspora ni 456 million dollars, equivalent to what Kenyans send in 2 months!
Tanzanian diaspora sends home Sh1tr yearly
1 trillion in madafu currency is nothing to yap about.1tsh trn nione aibu kuileta hapa una mimba changa wewe.
Ok go on following tz newz.
I think Wakenya wengi wako Nje ya nchi kuliko Wa Tz ..na nyie mmeanza kuweka roots abroad mapema kuliko Tz ...Data ipo, sema ni wewe mzembe ama labda uko na aibu kuleta data yenu hapa
Yearly remittance ya Tanzania diaspora ni 456 million dollars, equivalent to what Kenyans send in 2 months!
Tanzanian diaspora sends home Sh1tr yearly
1 trillion in madafu currency is nothing to yap about.
Hongera Wazalendo wa Tanzania. Hawa wanastahili uraia pacha kwa uzalendo uliotukuka.Data ipo, sema ni wewe mzembe ama labda uko na aibu kuleta data yenu hapa 😂😂😂
Yearly remittance ya Tanzania diaspora ni 456 million dollars, equivalent to what Kenyans send in 2 months!
Tanzanian diaspora sends home Sh1tr yearly
Nyie majamaa mnatia aibu kweli ,kipindi wenzenu tunakomaa nchini kwetu kujenga nchi,nnyinyi mnashangilia pesa za mahouse girl na waosha tanyee za wazungu. By the way hii inaleta taswira kuwa kuishi Kenya hakuhamasishi like in tz ambapo wabongo siku hizi hawawazi kujidhalilisha ng'ambo.Ama kweli Kenya's greatest resource is its Human Resource unlike other countries mostly dependent on minerals...
Yani ukiondoa wakenya from the table Uchumi wa nchi unapotea, lakini kuna nchi zengine ukiundoa wananchi kwenye picha bado Uchumi wa nchi unabaki vile vile manake madini na malighafi ndo yanachangia pakubwa...
Waoh ni pesa nyingi ..lkn ss mbona UK hataki kuwaongeza mishahara manesi ?
Pimbi mkubwa wewe. Watu wanawekeza kwao bana, huo ndio uzalendo. Serikali nayo imewavutia kwa kuwashirikisha kwenye baadhi ya maamuzi kuhusu maendeleo ya nchi. Wakenya wanachapa kazi bana na sio kwenye ngazi za chini pekee yake. Acha unafik.Nyie majamaa mnatia aibu kweli ,kipindi wenzenu tunakomaa nchini kwetu kujenga nchi,nnyinyi mnashangilia pesa za mahouse girl na waosha tanyee za wazungu. By the way hii inaleta taswira kuwa kuishi Kenya hakuhamasishi like in tz ambapo wabongo siku hizi hawawazi kujidhalilisha ng'ambo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo ni za zawadi wametuma dada zao wa ng'ambo,zimehifadhiwa
Hao wakenya wanatuma hela pesa nyingi kuliko pesa ambazo Tz inapata kwa utallii, ...... yani biashara ya mbuga,hoteli zote mapato yake hayafikii hela zinazotumwa na wakenya nyumbani!!!!!!Nyie majamaa mnatia aibu kweli ,kipindi wenzenu tunakomaa nchini kwetu kujenga nchi,nnyinyi mnashangilia pesa za mahouse girl na waosha tanyee za wazungu. By the way hii inaleta taswira kuwa kuishi Kenya hakuhamasishi like in tz ambapo wabongo siku hizi hawawazi kujidhalilisha ng'ambo.
Sent using Jamii Forums mobile app